Monday, 20 May 2013

Msanii wa ZE COMEDY afanya uchafu beach

MSANII memba wa Kundi la Ze Comedy linaloruka kupitia Runinga ya East Africa, Master Face amenaswa akifanya uchafu wa kushikana ‘kimalovee’ na msanii mwenzake aitwaye Happy ambaye alikuwa ametinga kivazi cha nusu utupu.

Kwa mujibu wa chanzo makini, wasanii hao walikuwa wakirekodi filamu katika ‘bichi’ ya Chadibwa iliyopo maeneo ya Kigamboni, jijini Dar ndipo walipopitiliza na kuanza kufanya madudu hayo ambayo hayakuwepo kwenye muswada wa filamu hiyo. Baada ya picha hizo kuzagaa kwenye mitandao ya kijamii, paparazi wetu alifanya jitihada za kuwatafuta wawili hao lakini kwa bahati mbaya simu zao ziliita bila kupokelewa.

Angalia picha zaidi hapa chini




Kwa hisani ya GLP

Related Posts:

  • LEMA abaka? BINTI mrembo aitwaye Flora Bahati Lyimo (pichani) anamtuhumu mbunge mmoja ‘mtata’ wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloongozwa na Spika Anne Makinda (jina tunalo) kuwa amembaka, Uwazi lina kisa cha aibu ya … Read More
  • Barua ya mapenzi toka kwa Brother man .... Chezea Kiinglish wewe? Dalling , Me Love u. if u loveng and i will hepi. also when look u i filling my hurt moves fast fast like woch clock. wen to drinking wota in glas cup me i seen you pikcha u looked very goodsome. plizi answer me likwest t… Read More
  • LADY JAYDEE Vs Clouds MWANAMUZIKI Judith Wambura ‘Lady Jaydee’, juzi Jumatatu hatimaye yalimkuta baada ya kuibua simanzi nzito katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar, alipofikishwa baada ya kufunguliwa kesi ya madai namba 29/2013 na mabos… Read More
  • Namfuata MWISHO Namibia LICHA ya Mwisho Mwampamba kuwa mume wa ndoa wa Meryl Shikwambane, msanii wa filamu na muziki Bongo, Baby Madaha amesema anajiandaa kwenda nchini Namibia wanapoishi wanandoa hao kwa lengo la kujumuika na Mwisho na kula ba… Read More
  • Mwizi wa kutumia bodaboda auawa KIJANA mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja anayedaiwa ni mzoefu wa wizi kwa kutumia usafiri wa pikipiki ‘bodaboda’, ameuawa baada ya kumliza mwanamke aliyetambulika kwa jina la Jusmini. Tukio hilo … Read More

0 maoni: