STAA wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ ameibuka na kusema watu wanaovumisha kwamba ameolewa mke wa pili wakome kwani yeye ndiye wa kwanza na wa mwisho kwa mumewe aitwaye Abdallah Shakoor. Davina ambaye siku si nyingi anatarajia kumzalia mumewe huyo alisema, amesikia watu wakichonga kuwa yeye ameolewa mke wa pili kitu ambacho si cha kweli.
“Nashangaa, haya maneno nilianza kuyasikia siku ya ndoa yangu kwani wambeya wasiopenda maendeleo ya watu walivumisha kwamba eti nimeolewa mke wa nne. Naomba wakome kabisa kwani mimi ndiyo wa kwanza na wa mwisho kwa Dullah,” alisema Davina.Friday, 1 February 2013
Home »
» Davina apiga Mkwara mzito kuhusu ndoa yake ........... asema watu wakomee
Davina apiga Mkwara mzito kuhusu ndoa yake ........... asema watu wakomee
Related Posts:
Wapenzi wa WASTARA kaeni mkao wa kula kitu kiko njiani....... … Read More
Watoto wa P Diddy waingia kwenye mitindo? Habari kamili fungua hapa - P Diddy children in fashion... … Read More
World's oldest dad, 97, devastated after wife leaves him following disappearance of their son Ramajit Raghav claimed to be the oldest man to father a child aged 94 But wife Shakuntala Devi left him after their older boy disappeared Split: World's oldest dad Ramjeet Raghav says he is devastated after his wife… Read More
Gaidi Samantha adaiwa kujificha nchini MWANAMKE wa nchini Uingereza, Samantha Lewthwaite, anayetuhumiwa kuhusika katika shambulio la kigaidi nchini Kenya hivi karibuni, anadaiwa kujificha hapa nchini, RAI Jumapili linaripoti. Taarifa za Samantha kujificha nchin… Read More
Madanguro yashamiri Dar, sheria iko kimya Biashara ya madanguro katika baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam imeshamiri na kuhatarisha kuporomoka kwa maadili kwa watu wanaoishi jirani na madanguro hayo. Hata hivyo, watu wanaofanya biashara ya kuuza miili y… Read More
0 maoni:
Post a Comment