STAA wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ ameibuka na kusema watu wanaovumisha kwamba ameolewa mke wa pili wakome kwani yeye ndiye wa kwanza na wa mwisho kwa mumewe aitwaye Abdallah Shakoor. Davina ambaye siku si nyingi anatarajia kumzalia mumewe huyo alisema, amesikia watu wakichonga kuwa yeye ameolewa mke wa pili kitu ambacho si cha kweli.
“Nashangaa, haya maneno nilianza kuyasikia siku ya ndoa yangu kwani wambeya wasiopenda maendeleo ya watu walivumisha kwamba eti nimeolewa mke wa nne. Naomba wakome kabisa kwani mimi ndiyo wa kwanza na wa mwisho kwa Dullah,” alisema Davina.Friday, 1 February 2013
Home »
» Davina apiga Mkwara mzito kuhusu ndoa yake ........... asema watu wakomee
Davina apiga Mkwara mzito kuhusu ndoa yake ........... asema watu wakomee
Related Posts:
Jamani nakufa , niokoeni WANASEMA ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, ni kweli! Ngaweje Said (39), mkazi wa Kijiji cha Zinga, Bagamoyo, Pwani anateseka na gonjwa asilolijua ambapo nyama kubwa imeota toka juu ya uso upande wa kushoto na kumwag… Read More
MUME atelekeza Familia , adaiwa kuishi na Mwanamke mwingine gesti Mke awaibukia, amwaga manyanga, amnyunyuzia pilipili machoni, pachimbika HII ni fedheha! Mzee Mbonde, mkazi wa Kimara jijini Dar, anadaiwa kutelekeza familiana kwenda kuishi na mwanamke mwingine gesti kisha kufumwa… Read More
More like Pink Monday! Nicki Minaj teams figure-hugging jeans with heavily studded jacket and bag as she flies home with Safaree Samuels Time to Fly: Nicki Minaj was spotted as she arrived at Los Angeles Airport after holidaying in Cabo, Mexico, with boyfriend Safaree Samuels on Monday Right by My Side: The rapper and singer kept her sunglasses on while… Read More
Does Drake hold the key? Rihanna rocks Chanel padlock necklace as she and the rapper hit London hotspot Cirque le Soir Secretive: The pair arrived separately to the venue suggesting that they wanted to keep their meeting under wraps Open Your Heart: Mobbed by fans and photographers, the Barbadian beauty accessorised with a ma… Read More
Villas- Boas kujiunga na St.Petersberg Aliyekua Kocha wa Tottenham na Chelsea, Andre Villas-Boas ameridhia kuingia mkataba wa miaka miwili na klabu ya Zenit St Petersburg, taarifa za klabu hiyo ya Urusi zimeeleza. Kocha huyo mwenye umri wa miaka 36, aliyet… Read More
0 maoni:
Post a Comment