STAA wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ ameibuka na kusema watu wanaovumisha kwamba ameolewa mke wa pili wakome kwani yeye ndiye wa kwanza na wa mwisho kwa mumewe aitwaye Abdallah Shakoor. Davina ambaye siku si nyingi anatarajia kumzalia mumewe huyo alisema, amesikia watu wakichonga kuwa yeye ameolewa mke wa pili kitu ambacho si cha kweli.
“Nashangaa, haya maneno nilianza kuyasikia siku ya ndoa yangu kwani wambeya wasiopenda maendeleo ya watu walivumisha kwamba eti nimeolewa mke wa nne. Naomba wakome kabisa kwani mimi ndiyo wa kwanza na wa mwisho kwa Dullah,” alisema Davina.Friday, 1 February 2013
Home »
» Davina apiga Mkwara mzito kuhusu ndoa yake ........... asema watu wakomee
Davina apiga Mkwara mzito kuhusu ndoa yake ........... asema watu wakomee
Related Posts:
Maana halisi ya Rastafari Maana halisi ya neno RASTAFARIAN: ni imani ya mtu mweusi au mweupe inayotetea UTU wa MTU MWEUSI. MPIGANIA HAKI YA MTU MWEUSI huitwa RASTAMAN au RASTAWOMAN na kwa WATOTO wao huitwa RASTABABY. Imani "kamili" ya Ras… Read More
Kuna uwezekano wa Magaidi waliovamia jengo la WESTGATE KENYA walitumia bomba la maji machafu kutoroka? Habari kamili fungua hapa - kenyan-post … Read More
"The 16 Year Old Killer" Cyntoia's Story (full documentary) In 2004, Cyntoia Brown was arrested for the murder of a 43-year-old man. Cyntoia was a prostitute and he was her client. Film-maker Daniel Birman was granted unique access to Cyntoia from the week of her arrest,… Read More
Polisi wavunja ndoa ya mtoto wa miaka 14 Binti wa miaka 14, Zubeda akiwa tayari kufunga ndoa na Hamis (35). Hamis Ngaumba (35) aliyetaka kumuoa binti wa miaka 14. NDOA iliyokuwa tayari kufungwa na shehe kati ya Hamis Ngaumba (35), mkazi wa Bangulo, Ulongo… Read More
Mary J. Blige shaves $200,000 off her charitable foundation's bank debt but is still accused of owing millions in unpaid taxes She has faced endless financial troubles in the past few years but Mary J. Blige has finally received some good news. The No More Dramas singer has allegedly reached an agreement with TD Bank which will see $200,000 … Read More
0 maoni:
Post a Comment