STAA wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ ameibuka na kusema watu wanaovumisha kwamba ameolewa mke wa pili wakome kwani yeye ndiye wa kwanza na wa mwisho kwa mumewe aitwaye Abdallah Shakoor. Davina ambaye siku si nyingi anatarajia kumzalia mumewe huyo alisema, amesikia watu wakichonga kuwa yeye ameolewa mke wa pili kitu ambacho si cha kweli.
“Nashangaa, haya maneno nilianza kuyasikia siku ya ndoa yangu kwani wambeya wasiopenda maendeleo ya watu walivumisha kwamba eti nimeolewa mke wa nne. Naomba wakome kabisa kwani mimi ndiyo wa kwanza na wa mwisho kwa Dullah,” alisema Davina.Friday, 1 February 2013
Home »
» Davina apiga Mkwara mzito kuhusu ndoa yake ........... asema watu wakomee
Davina apiga Mkwara mzito kuhusu ndoa yake ........... asema watu wakomee
Related Posts:
Mastaa wa BONGO full vituko IMEVUJA kuwa chanzo cha bifu, migongano, mtifuano na mpasuko baina ya baadhi ya mastaa wa kike Bongo ni kugombea mabwana, wivu, chuki na vita ya kufunikana na kila mmoja kujiona yupo juu kisanii, IJUMAA linafunguka.&nbs… Read More
Man Walter Amaliza Beef Yake Na Wasanii Wote Akiwemo 20%... Producer wa muziki maarufu nchini, Man Walter (pichani kushoto) atangaza kumaliza beef zake zote alizokuwa nazo na wasanii. Akizungumza na radio moja maarufi nchini, Man Walter alizungumza kumaliza matatizo yote aliyokuwa … Read More
!!!!!!?????? … Read More
Baby wangu anapenda kudeka ! wenye wivu kwa kweli wajinyonge ... STAA wa filamu Bongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’(pichani) amefunguka kuwa kipenzi chake, Emmannuel Rushau ‘Bwana Misosi’ anapenda kudeka pindi wanapokuwa viwanja. Akiongea kwa mbwembwe namwandishi wetu kati… Read More
Skin Whitening Home Remedies: 3 Powerful Recipes Worth A Try Why Skin Whitening Home Remedies? We agree that every woman, or maybe man, wants to have white and smooth skin. Nowadays, a lot of cosmetics offer promises and claim that they can whiten skin effectively and efficiently.… Read More
0 maoni:
Post a Comment