Jamani hivi vitu tuwe tunaangalia kabla hata hatujafanya! wenzetu walioendelea wanakuwa na watu wao wa kuwashauri baadhi ya mambo hata kama si makubwa basi madogo madogo kama haya ambayo yanaweza kuleta mushkeli mtaani.... haya angalia huyu kaka mwenye joho jeupe si Mtumishi wa Mungu huyu?haya angalia na huu mkorogo alioupaka unafanana nae kweli? Jamani kama kuna mtu anamjua naomba amvute pembeni na ampe darasa... kazi yake na mapodozi haya havihusiani kabisa.... binafsi nasema sitaki na kama ningeweza kumpata nimemchana laivu... kama alitaka mambo haya ya mkorogo basi haya ya kuvaa joho angeyaacha , asituchanganyie habari kabisa
Monday, 3 December 2012
Mkorogo na Mtumishi wa Mungu inahusu?
Related Posts:
Alshabaab waingia Tanzania? POLISI mkoani Mtwara inawashikilia watu 11 kwa tuhuma za kupata mafunzo ya kijeshi msituni kwa kutumia CDs za al-Shabaab. Tukio hilo la aina yake limetokea katika mlima Makolionga wilaya ya Nanyumbu mkoani hapa ambapo… Read More
Mnigeria ashinda shindano la urembo la kiisilamu Mwanadada wa Nigeria ndiye mshindi wa shindano la urembo kwa wasichana wa kiisilamu mjini Jakarta Indonesia. Obabiyi Aishah Ajibola, 21, alishinda shindano la kimataifa la wasichana wa kiisilamu kwa jina Muslimah mwak… Read More
The touching moment Pope Francis halted his weekly audience to kiss and hold disfigured man with 'Elephant Man' disease Pontiff embraced and prayed with the man, who suffers from neurofibromatosis - a rare genetic condition that is not contagious Condition long associated with the 'Elephant Man' Joseph Carey Merrick People living with t… Read More
Padri aliyemwagiwa Tindikali kusafirishwa Huenda Padri wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mpendae Zanzibar, Anselmo Mwang’amba aliyemwagiwa tindikali siku tano zilizopita, akasafirishwa nje ya nchi kwa ajili ya matibabu kutokana na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili amba… Read More
Mungu habipiwi!.......Mchungaji afumaniwa GESTI na MKE wa mtu TOFAUTI na inavyoaminika na wengi kuwa watumishi wa Mungu ni watu safi, safari hii Mchungaji Obed Ntimba wa Kanisa la Anglikana Gongo la Mboto, Dar es Salaam amejikuta akivunja agano la Muumba baada ya kunaswa gesti akiwa … Read More
0 maoni:
Post a Comment