Jamani hivi vitu tuwe tunaangalia kabla hata hatujafanya! wenzetu walioendelea wanakuwa na watu wao wa kuwashauri baadhi ya mambo hata kama si makubwa basi madogo madogo kama haya ambayo yanaweza kuleta mushkeli mtaani.... haya angalia huyu kaka mwenye joho jeupe si Mtumishi wa Mungu huyu?haya angalia na huu mkorogo alioupaka unafanana nae kweli? Jamani kama kuna mtu anamjua naomba amvute pembeni na ampe darasa... kazi yake na mapodozi haya havihusiani kabisa.... binafsi nasema sitaki na kama ningeweza kumpata nimemchana laivu... kama alitaka mambo haya ya mkorogo basi haya ya kuvaa joho angeyaacha , asituchanganyie habari kabisa
Monday, 3 December 2012
Mkorogo na Mtumishi wa Mungu inahusu?
Related Posts:
Denti wa KAPUYA azua jipya Global Publishers Ltd ilipoamua kufuatilia sakata la denti anayedai kubakwa na Mbunge wa Urambo Magharibi (CCM), Juma Athuman Kapuya, lilijua yapo mengi yatajitokeza, Amani lina jipya lingine. Huu ni muendel… Read More
DC wa zamani kortini kwa ubadhirifu wa pembejeo Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani hapa, imemsomea mashtaka aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Chato, Hadija Nyembo, pamoja na aliyekuwa Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Hamida Kwikwega, kwa tuhuma za ub… Read More
Las Vegas woman who was 'sleeping with her son' is on trial for 'orchestrating murder-for-hire plot to kill off husband and cash in on his insurance policy' Amy Bessey's attempted murder and conspiracy trial began Wednesday in Las Vegas justice court Bessey, also known as Amy Pearson, allegedly plotted to kill her husband with her son and brother to get his $250,000 life in… Read More
Mapaparazi waendelea kumbana KANYE WEST ..... Habari kamili fungua hapa - KANYE WEST … Read More
Picha za Babu Seya na Mwanawe Papii leo Mahakamani kwabla na baada ya kushindwa hukumu Babu Seya(katikati) na mwanae Papii Kocha wakati wakiingia mahakamani mapema leo wakiwa na nyuso za huzuni. Mwanamuziki Nguza Viking na mwanaye Johnson Nguza 'Papii Kocha'. Ndugu na jamaa wakiangua kilio baada ya … Read More
0 maoni:
Post a Comment