Jamani hivi vitu tuwe tunaangalia kabla hata hatujafanya! wenzetu walioendelea wanakuwa na watu wao wa kuwashauri baadhi ya mambo hata kama si makubwa basi madogo madogo kama haya ambayo yanaweza kuleta mushkeli mtaani.... haya angalia huyu kaka mwenye joho jeupe si Mtumishi wa Mungu huyu?haya angalia na huu mkorogo alioupaka unafanana nae kweli? Jamani kama kuna mtu anamjua naomba amvute pembeni na ampe darasa... kazi yake na mapodozi haya havihusiani kabisa.... binafsi nasema sitaki na kama ningeweza kumpata nimemchana laivu... kama alitaka mambo haya ya mkorogo basi haya ya kuvaa joho angeyaacha , asituchanganyie habari kabisa
Monday, 3 December 2012
Mkorogo na Mtumishi wa Mungu inahusu?
Related Posts:
Mungu habipiwi!.......Mchungaji afumaniwa GESTI na MKE wa mtu TOFAUTI na inavyoaminika na wengi kuwa watumishi wa Mungu ni watu safi, safari hii Mchungaji Obed Ntimba wa Kanisa la Anglikana Gongo la Mboto, Dar es Salaam amejikuta akivunja agano la Muumba baada ya kunaswa gesti akiwa … Read More
Gwajima avamiwa usiku na kunusurika kuuwawa ILITOKEA lakini haikuandikwa kwa sababu haikudakwa! Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lenye makazi yake kwenye Viwanja vya Tanganyika Perkas, Kawe jijini Dar, Josephat Gwajima alinusurika kuuawa mara tatu kufuati… Read More
The touching moment Pope Francis halted his weekly audience to kiss and hold disfigured man with 'Elephant Man' disease Pontiff embraced and prayed with the man, who suffers from neurofibromatosis - a rare genetic condition that is not contagious Condition long associated with the 'Elephant Man' Joseph Carey Merrick People living with t… Read More
Papa:Internet ni zawadi kutoka kwa Mungu Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis amesema kuwa Internet ni zawadi kwa dunia nzima kutoka kwa Mungu lakini akaonya kuwa matamanio ya kutaka kuwasiliana zaidi kutumia Internet kunawatenga watu kutoka kwa famil… Read More
Sakata la MWINGIRA kudaiwa kuzaa na MKE wa mtu, Rais KIKWETE aingilia kati RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, ameingilia kati sakata la Mtume na Nabii Josephat Mwingira kudaiwa kuzaa na mke wa mtu JK, aliingilia kati sakata hilo baada ya mume wa mtu, Dk. Will… Read More
0 maoni:
Post a Comment