Jamani hivi vitu tuwe tunaangalia kabla hata hatujafanya! wenzetu walioendelea wanakuwa na watu wao wa kuwashauri baadhi ya mambo hata kama si makubwa basi madogo madogo kama haya ambayo yanaweza kuleta mushkeli mtaani.... haya angalia huyu kaka mwenye joho jeupe si Mtumishi wa Mungu huyu?haya angalia na huu mkorogo alioupaka unafanana nae kweli? Jamani kama kuna mtu anamjua naomba amvute pembeni na ampe darasa... kazi yake na mapodozi haya havihusiani kabisa.... binafsi nasema sitaki na kama ningeweza kumpata nimemchana laivu... kama alitaka mambo haya ya mkorogo basi haya ya kuvaa joho angeyaacha , asituchanganyie habari kabisa
Monday, 3 December 2012
Mkorogo na Mtumishi wa Mungu inahusu?
Related Posts:
Sakata kati ya WAISLAMU na WAKRISTO kuhusu kuchinja laleta balaa kubwa TUNDUMA Picha na habari zaidi fungua hapa - Mbeyayetu blog … Read More
Dr Salum Mkumba amchambua DIAMOND kuhusu kubaki na Marehemu Bi. KIDUDE Baada ya msiba wa Bi Kidude kumalizika, hivi karibuni ziliibuka taarifa kuwa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ alibaki peke yake na mwili wa marehemu chumbani kwa ajili ya kuchota nyota ya Bi. Kidude. Leo tunaye Dr Salum… Read More
Kakobe asepa? Hapa akiwa na mkewe Bi Helen KUNA madai kwamba, Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) la jijini Dar es Salaam, Zachary Kakobe ameikimbia Tanzania na kwenda kuishi katika Jiji la Toronto, Canada ku… Read More
Bwana alitoa na Bwana ametwaaa - Padre Mushi azikwa leo Habari na maelezo zaidi tutawaletea Stay tune ...................... … Read More
'Lol these people are cooked:' Boston bomber's chilling tweet sent just hours after the deadly attack Cold-hearted: Dzhokhar Tsarnaev, 19, tweeted hours after the Boston Marathon attacks, joking about the fate of the victims The surviving suspect accused of the Boston Marathon bombings tweeted in the aftermath of the … Read More
0 maoni:
Post a Comment