Thursday, 27 June 2013

JUMA KASEJA huru kutafuta timu nyingine .....................SIMBA SC waachana nae

TIMU ya Simba SC jana imetangaza rasmi kuachana na mlinda mlango wake mahiri, Juma Kaseja. Simba SC kupitia kwa Mwenyekiti wake wa Kamati ya Usajili, Zacharia Hans Pop, umetangaza kuachana na kipa huyo ambaye ni nahodha wa Timu ya Taifa, Taifa Stars.
Kaseja ambaye ameipatia mafanikio mengi Simba amemaliza mkataba wake na timu yake hiyo ambayo imemwambia yupo huru kutafuta timu nyingine.

Kwa hisani ya GPL

Related Posts:

  • Kocha Fiorentina kutua Azam Stewart Hall asema kilichomuondoa ALIYEKUA Kocha mshauri wa klabu za Fiorentina na Atlanta za Italia, Fabio Lopez anatarajia kuifundisha timu ya Azam FC ambayo kwa sasa haina kocha baada ya aliyekuwa anaifundisha Mui… Read More
  • Amigolas: Nimefanya kazi Twanga miaka 18 bila mkataba Mwanamuziki  mkongwe Hamis Kayumbu maarufu kama Amigolas,  aliyeitumikia  Bendi ya African Stars (Twanga Pepeta), amesema kuwa licha ya kudumu na bendi hiyo kwa miaka 18 hakuwahi kuwa na mkataba. Amigolas a… Read More
  • Juma Kaseja atua Ndanda FC? KIPA namba moja wa Taifa Stars, Juma Kaseja dili lake la kwenda kuichezea FC Lupopo ya DR Congo halieleweki na kusisitiza kuwa ameamua kujiunga na timu ya Ndanda FC inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza kwa ajili ya mazoezi i… Read More
  • Malinzi rais mpya TFF JAMAL Malinzi, jana alitangazwa kuwa rais mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), baada ya kupata kura nyingi dhidi ya mpinzani wake, Athumani Nyamlani katika uchaguzi mkuu uliofanyika kwenye Ukumbi wa Water Front jijin… Read More
  • WAMBURA ateuliwa kuwa Kaimu Katibu Mkuu TFF Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemteua Bw. Boniface Wambura kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa TFF. Uteuzi huo ni kuanzia Novemba 2 mwaka huu. Aidha aliyekuwa Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah… Read More

0 maoni: