Monday, 18 November 2013

Ally Badru na Awadhi Issa watua Msimbazi

Wazee wa Msimbazi , Simba Sports Club  jana imewasajili wachezaji wawili  toka Mtibwa Sugar na Canal suez ya Misri........ Habari zilizotufikia wadaku wa mji zinasema wachezaji hao ni Awadh Issa wa Mtibwa Sugar na Ally Badru kutoka Canal Suez ya Ligi Kuu ya Misri!

.........................Stay tune.........................

Related Posts:

  • Yanga wamuongezea adhabu Mrisho Ngassa? IMEFAHAMIKA kuwa Klabu ya Yanga, ndiyo iliyochangia ukubwa wa adhabu aliyopewa kiungo wake mshambuliaji Mrisho Ngassa, Championi Ijumaa limebaini. Taarifa hiyo inakuja wakati ambao Ngassa amefungiwa kucheza mechi sit… Read More
  • Madawa ya Kulevya yamfilisi AISHA MADINDA WIMBI la uuzaji na utumiaji wa madawa ya kulevya limeshika kasi hivi sasa kwa wasanii na watu mbalimbali huku Waziri wa Uchukuzi, Harrison Mwakyembe akilivalia njuga kulikomesha.Wakati hayo yakiendelea, mnenguaji aliyetik… Read More
  • Gwiji Gurumo ang’atuka 1940: Alizaliwa Kisarawe, Pwani  1960: Alianza muziki  Bendi alizopiga: Kili Chacha, Kilwa Jazz, Rufiji Jazz, DDC Mlimani, Safari Sound na Msondo Ngoma.   Alama na kielelezo cha muziki wa dansi nchini, m… Read More
  • Malinzi achukua fomu ya urais TFF ALIYEWAHI kuwa Katibu Mkuu wa Yanga SC, Jamal Malinzi amejitokeza kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya urais ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 27, mwaka huu. Fomu hi… Read More
  • Kaseja akumbwa na balaa lingine! Rais Lupopo amuita paspoti yake yaibwa KIPA wa zamani wa Simba, Juma Kaseja, ameendelea kukumbana na mikasa lukuki baada ya paspoti yake kuibwa katika hali ya utatanishi huku rais wa Klabu ya FC Lupopo, Victor Kasongo Ngoy, akimtaka aende DR Congo wiki hii.&nb… Read More

0 maoni: