Naandika haya kwa masikitiko makubwa kwa hali iliyonitokea ijumaa ya juzi .Kuna mdada kazini kwangu imetokea kuzoeana sana kiasi kwamba lunch huwa tunakwenda pamoja huku tukiwa bega kwa bega .Tumezoeana sana kwa utani mwingi nwingi mpaka ananiitaga mume wake sweet darling licha ya kuona pete ya ndoa pale kidoleni.Kiukweli msg anazontumiaga huwa ni mbaya sana najitahidi kuzifuta kabla wife hajaziona.
Kipindi cha nyuma muda wa kazi ukiisha huwa anakuja kwenye gari langu tunabusiana kisha kila mmoja anashika njia yake..Sasa juzi usiku tukiwa na wife sebuleni huku nmmshika a new born baby boy wife alikua ameshika simu yangu sasa simu yangu ina mtindo wa msg kujifungua yenyewe nadhan ni settings ikaingia msg toka kwa bi mdada inasema hivi " helo swthrt micn u nipo kwa bed nakuwaza kesho plz twende escape 1 kuna kitu special 4 u.Kiukweli nilipata wakati mgumu sana kumuelewesha mke wangua jana jumamosi nmeshinda tu home nikifua nepi na kumbadilisha mtoto akijisaidia.Ingawa kwa macho anaonekana karidhika na utetezi wangu lakini bado namuona ana mashaka .Jamanu kina dada hata kama ni mazoea muwe munaangalia na muda wa kupiga simu au kutuma msg wengune tunawapenda wake zetu na tumetumia muda mrefu mpaka kuwatia ndani.
Monday, 18 November 2013
Nani wa kulaumiwa hapa? Ndoa yangu ipo mashakani......
Related Posts:
Chezea mapenzi wewe!!!! Jason Derulo amzawadia mpenzi wake(Jordin Sparks) BMW mpyaaaaa kama zawadi ya Christmas Jason Derulo na mpenzi wake Jordin Sparks Fungua hapa chini kuona hiyo zawadi ya BMW - Zawadi ya Sparks toka kwa mpenzi wake … Read More
Unatafuta pete za Uchumba? hizi hapa … Read More
PICTURE EXCLUSIVE: Kim and Kanye couldn't be s'more in love as they nibble on treats by firepit with their little sweetie Nori … Read More
A - Z Kutekwa, Kutekwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA MWENYEKITI wa Chadema wilayani Temeke, jijini Dar Joseph Yona,33, ameeleza A-Z sakata la kutekwa, kuteswa kwake na vijana sita wakati akienda nyumbani kwake Mtoni kwa Azizi Ally. Akisimulia mkasa huo kwa mwandishi wa gaze… Read More
DIAMOND kumnunulia WEMA jumba la Mil. 125 STAA wa Bongo Fleva mwenye mbwembwe kibao, pia anasifika kwa kuwa msafi na anasemekana ndiye mwenye mkwanja wa nguvu Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ anadaiwa yuko kwenye mchakato wa kumnunulia jumba la kifahari mpenzi wake w… Read More
0 maoni:
Post a Comment