Naandika haya kwa masikitiko makubwa kwa hali iliyonitokea ijumaa ya juzi .Kuna mdada kazini kwangu imetokea kuzoeana sana kiasi kwamba lunch huwa tunakwenda pamoja huku tukiwa bega kwa bega .Tumezoeana sana kwa utani mwingi nwingi mpaka ananiitaga mume wake sweet darling licha ya kuona pete ya ndoa pale kidoleni.Kiukweli msg anazontumiaga huwa ni mbaya sana najitahidi kuzifuta kabla wife hajaziona.
Kipindi cha nyuma muda wa kazi ukiisha huwa anakuja kwenye gari langu tunabusiana kisha kila mmoja anashika njia yake..Sasa juzi usiku tukiwa na wife sebuleni huku nmmshika a new born baby boy wife alikua ameshika simu yangu sasa simu yangu ina mtindo wa msg kujifungua yenyewe nadhan ni settings ikaingia msg toka kwa bi mdada inasema hivi " helo swthrt micn u nipo kwa bed nakuwaza kesho plz twende escape 1 kuna kitu special 4 u.Kiukweli nilipata wakati mgumu sana kumuelewesha mke wangua jana jumamosi nmeshinda tu home nikifua nepi na kumbadilisha mtoto akijisaidia.Ingawa kwa macho anaonekana karidhika na utetezi wangu lakini bado namuona ana mashaka .Jamanu kina dada hata kama ni mazoea muwe munaangalia na muda wa kupiga simu au kutuma msg wengune tunawapenda wake zetu na tumetumia muda mrefu mpaka kuwatia ndani.
Monday, 18 November 2013
Nani wa kulaumiwa hapa? Ndoa yangu ipo mashakani......
Related Posts:
Madeni ya Harusi yamtesa CHAZ BABA! SIKU chache baada ya kufunga ndoa, Rais wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel Baba ‘Chaz Baba’ ameingia kwenye mateso ya kusumbuliwa na madeni yaliyotokana na harusi hiyo. Akizungumza na mapaparazi wa Amani kat… Read More
Diddy's girlfriend Cassie shares intimate snap from inside their bedroom... but who took the photo? So in love: Cassie posted this romantic image of her boyfriend Diddy sleeping on top of her. Fans speculate the photo was taken for publicity as both of their hands are shown Sought revenge: Once the 43-year-old saw th… Read More
Habari kamili kuhusu na DIAMOND na WEMA hii hapa ...... Kuna sababu zaidi ya 100 kuwa ‘ile inayoitwa’ movie ya Diamond na Wema Sepetu iliyopewa jina na Diamond, ‘Temptations’ haipo na kama unaingoja, utaingoja hadi miguu iingie tumboni. Hakuna movie. Diamond na Wema Sepetu… Read More
Hii ni kwa Wanaume Kuna baadhi ya familia ....mwanaume akishindwa baadhi ya majukumu yake hasa ya kipato ni kawaida kusikia mume akimwambia mkewe 'fanya maarifa' au ufanye maarifa basi'................... Hivi hili hasa linaamaanisha nini?… Read More
WEMA na DIAMOND wamerudiana? Inasemekana kuwa hizi picha zimepigwa hivi karibuni huko Malasyia ambako Diamond alikuwa katika ziara yake ya kimuziki Stay tune........... … Read More
0 maoni:
Post a Comment