Naandika haya kwa masikitiko makubwa kwa hali iliyonitokea ijumaa ya juzi .Kuna mdada kazini kwangu imetokea kuzoeana sana kiasi kwamba lunch huwa tunakwenda pamoja huku tukiwa bega kwa bega .Tumezoeana sana kwa utani mwingi nwingi mpaka ananiitaga mume wake sweet darling licha ya kuona pete ya ndoa pale kidoleni.Kiukweli msg anazontumiaga huwa ni mbaya sana najitahidi kuzifuta kabla wife hajaziona.
Kipindi cha nyuma muda wa kazi ukiisha huwa anakuja kwenye gari langu tunabusiana kisha kila mmoja anashika njia yake..Sasa juzi usiku tukiwa na wife sebuleni huku nmmshika a new born baby boy wife alikua ameshika simu yangu sasa simu yangu ina mtindo wa msg kujifungua yenyewe nadhan ni settings ikaingia msg toka kwa bi mdada inasema hivi " helo swthrt micn u nipo kwa bed nakuwaza kesho plz twende escape 1 kuna kitu special 4 u.Kiukweli nilipata wakati mgumu sana kumuelewesha mke wangua jana jumamosi nmeshinda tu home nikifua nepi na kumbadilisha mtoto akijisaidia.Ingawa kwa macho anaonekana karidhika na utetezi wangu lakini bado namuona ana mashaka .Jamanu kina dada hata kama ni mazoea muwe munaangalia na muda wa kupiga simu au kutuma msg wengune tunawapenda wake zetu na tumetumia muda mrefu mpaka kuwatia ndani.
Monday, 18 November 2013
Nani wa kulaumiwa hapa? Ndoa yangu ipo mashakani......
Related Posts:
DIAMOND aamua kuwachezea WEMA na PENNY..... asema "Penny ndiye mke wangu, Wema asitegemee kuolewa na mimi" RAIS wa Wasafi Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’, juzikati alifunguka kuwa kwenye maisha yake ya ndoa atakayoingia siku chache zijazo, aliyekuwa mchumba wake wakamwagana na kurejeana hivi karibuni, Wema Sepetu asitegemee kuole… Read More
Nani wa kulaumiwa hapa? Ndoa yangu ipo mashakani...... Naandika haya kwa masikitiko makubwa kwa hali iliyonitokea ijumaa ya juzi .Kuna mdada kazini kwangu imetokea kuzoeana sana kiasi kwamba lunch huwa tunakwenda pamoja huku tukiwa bega kwa bega .Tumezoeana sana kwa utani mwin… Read More
Bila condom namaliza haraka sana, ni tatizo au kawaida? Habari zenu wadau! Mimi ni kijana wa kiume, katika ujana wangu nimekuwa na mahusiano tofauti ambayo mara nyingi sana karibu zote nilikuwa natumia Condom kwenye kujamiiana.. Na sijisifii ila mara zote wanawake huwa n… Read More
Just the two of us! Kim Kardashian and Kanye West leave North at home to enjoy a romantic dinner date night Date night: Kim and Kanye were spotted dining out in Philadelphia where the rapper's due to perform as part of his Yeezus tour Matching coats: The couple both kept warm in wintery fur coats - which Kim paired with g… Read More
Secret Female Mind Reading Trick… Turns Her On In Seconds! Understanding Women: Is it Possible? Many guys spend a good part of their lives confused and frustrated because they just never could really understand women. Women were a total mystery to me for many years and I spent a… Read More
0 maoni:
Post a Comment