Friday, 4 October 2013

Bila condom namaliza haraka sana, ni tatizo au kawaida?


Habari zenu wadau!

Mimi ni kijana wa kiume, katika ujana wangu nimekuwa na mahusiano tofauti ambayo mara nyingi sana karibu zote nilikuwa natumia Condom kwenye kujamiiana.. Na sijisifii ila mara zote wanawake huwa ndio wanasema wamechoka maana ni spidi mwanzo mwisho na hadi nimalize ni kazi sana.

Sasa yamenikuta makubwa, baada ya kuwa na mahusiano ya muda mrefu kidogo na mwenzangu tukaamua kwenda Kupima ili tujue hali zetu na tunashukuru majibu yametoka mazuri na toka hapo mwenzangu anataka twende kavu kavu maana condom zinamuumiza na kutokana na hali zetu tukaamua kuendeleza libeneke wakati tunasubiri kubariki ndoa yetu..


Sasa kavu kavu mwenzangu naona kama haridhiki maana nikichomeka tu sichukui round manii zinatoka.. Yaani nimekuwa tofauti hadi najishangaaa..

Naombeni mnishauri kama nipo sawa hama ni ugonjwa huu, na kama ni ugonjwa nisaidiane maelekezo ya daktari bingwa wa hili tatizo maana nahisi kama simtendei haki mwenzangu na mwakani tunategemea kuoana sasa si itakuwa balaa maana wazungu wanatoka haraka wakati mwenzangu ndio kwanza anaanza mechi

Nitashukuru sana kwa msaada wenu 
Uncle S

Related Posts:

  • Ungekuwa wewe ungefanyaje? Wadau naombeni ushauri..... Mimi ni Mwanamke  mwenye umri wa miaka 34 sijabahatika kuzaa na wala kuolewa ila kwa  kipindi cha miaka 6 nimekuwa kwenye mahusiano na mwanaume mwenye mtoto mmoja aliyefiwa na mkewe… Read More
  • Msaada tutani .......Mke wangu anashida nisaidieni.... Habari zenu wapendwa! Ninaomba mnisaidie ushauri wa tatizo hili..........Kila nikikutana kimwili na mke wangu analalamika sana kuwa anasikia maumivu, najitahidi kuchukua muda mrefu wa kumuandaa lakini ila malalamiko n… Read More
  • Mchumba wangu amezaa na mume wa mtu nifanyaje? Habari zenu Wana hot n Town! Ni masikitiko na majonzi kwangu na kuumia sana moyo...maana nilitokea kupendana sana na binti mmoja wa kisukuma na hata kutambulishana kwa familia zetu...mwaka jana nimebahatika kupata nafasi… Read More
  • Hodi hodi wana hot n town! Mie ni mdada  wa makamo naishi Dar es salaam .... shida yangu kubwa naombeni msaada wa kujua maeneo gani ya mwili wa mwanaume yakiguswa au kufanyiwa chochote yanampa raha muhusika  k… Read More
  • Msaada tutani ........Mume wangu kanizidi mshahara lakini kila mara yuko kwenye money crisis Katika miaka yote tangu tumeoana mume wangu amenizidi kipato kwa maana mshahara wake ni mkubwa kuliko wa kwangu..lakini mara kwa mara yeye analalamika hana pesa. Sio tu kwamba analalamika lkn ukiangalia ni kweli hana na … Read More

0 maoni: