Friday, 20 September 2013

Magwiji wa Wizi wa Mtandao wakamatwa na TIGO

Mrembo huyu ni mmoja wa watuhumiwa wa kesi hii ya wizi wa mtandao baada ya kutumia kitambulisho chake na  kutaka kuja kurudisha line ambaye sio yake kwa kuahidiwa kupewa pesa kidogo kama ujira wake na katika melezo yake akasema hawatambui wahusika wenzake kwani amekutana nao tu Sinza na wakampa dili hilo na kuamua kuchukua bajaji ambao iliwaleta mpaka ofisi za tigo buguruni rozana.

Huyu ndio staring mwenyewe aliyechonga mchongo wote na kumshawishi huyu mwanamke kutumia kitambuluisho chake kufanyia wizi huo wa kimtandao.

Mrembo akijitetea kuwa hahusiki kabisa katika wizi huu na pia kujitetea kuwa kaacha mtoto mdogo nyumbani.

Hapa akitoa maelezo kuwa yeye si mwizi  na hwafahamu kabisa wahusika wenzake na yeye ni mfanyabiashara wa vipodozi.

Watuhumiwa wenzake wakificha sura zao huku wakitoa maelezo kwa wafanyakazi wa Tigo na walinzi waliowatia chini ya ulinzi baaada ya kuweka mtego mzuri wa kuyanasa matapeli haya ya kimtandao.

Hiki ndio kitambulisho alichotaka kutumia huyu mwanamke kuswap line ambayo sio yake lakini aliweka jina la mhusika wa line na namba alizokuwa anapiga mara nyingi laini sura yake bahati mbaya kwa umakini wa mfanyakazi mmoja wa Tigo kwa jina Octavian Rweyendera alifanikiwa kubaini udanganyifu huo na kuamuru awekwe chini ya ulinzi  mara moja.

Aliyesimama hapo yeye alibiwa kiasi cha milioni moja kwa njia ya Sim Banking ya NMB baada ya line kuharibika ghafla kumbe mmoja wa watuhumiwa ali-renew na kuiba pesa.

Kwa hisani ya GPL

Related Posts:

  • DIVA, B 12, MCHOMVU ‘out’ CLOUDS WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na Loveness Malinzi ‘Diva’, wamepigwa chini na kituo hicho, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi.       … Read More
  • Gwajima avamiwa usiku na kunusurika kuuwawa ILITOKEA lakini haikuandikwa kwa sababu haikudakwa! Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lenye makazi yake kwenye Viwanja vya Tanganyika Perkas, Kawe jijini Dar, Josephat Gwajima alinusurika kuuawa mara tatu kufuati… Read More
  • Mtoto aishi MAKABURINI WAKATI sehemu ya makaburi imekuwa ikiogopwa na watu wengi kutokana na ukweli kwamba ni makazi ya wafu, hali ni tofauti kwa mtoto wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 8-9 ambaye jina lake halikuweza kufahami… Read More
  • FEROOZ mbaroni kwa BANGI NYOTA aliyetamba katika muziki wa kizazi kipya enzi hizo akiwa na Kundi la Daz Nundaz, Ferooz Mrisho, juzikati alikamatwa na polisi na kutupwa lupango katika Kituo Kidogo cha Mabatini, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, baada… Read More
  • Full aibu : Angalia UFUSKA kwenye MALORI KILE kikosi maarufu kilichojizolea sifa kwa utenda kazi wake cha Operesheni Fichua Maovu (OFM) kilicho ndani ya jumba la Magazeti Pendwa Tanzania, Global Publishers jijini Dar kinazidi kufichua uovu, twende pamoja ili kuju… Read More

0 maoni: