Hivi sasa mambo yote ni kwenye Instagram... Wema Sepetu huu mwaka wake kila siku anaibuka na jipya! baada ya kumuonesha mtoto wake wa kwanza(Vanny) sasa kaja na lingine .................... Gari ya ukweli aina ya Audi Q7 inayokisiwa kugharimu zaidi ya milioni 70 za kitanzania! Hivi karibuni Wema amelinadi gari lake hilo kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuiita "My baby da beach" inasemekana kuwa hata Meneja wake Martin Kadinda kalifagilia sana hilo gari kiasi cha kuandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kuwa 'maisha sio manhattan…..You can creat your own Manhattan in Tz… Hata kama ni Ya muda mfupi…
Tuesday, 22 January 2013
Home »
Celebrities News
» Wema Sepetu full vituko ... baada ya kununua gari asema Mnaonichukia kazi mnayo!
Wema Sepetu full vituko ... baada ya kununua gari asema Mnaonichukia kazi mnayo!
Categories: Celebrities News
Related Posts:
Magic Johnson's son E.J. enjoys night out with boyfriend at swanky supper club despite backlash after going public Still together: Magic Johnson's gay son E.J. enjoyed a night out with his unidentified boyfriend at the Darby supper club in New York on Thursday after recently coming out of the closet Just chilling: The 2… Read More
Still super after all these years! Naomi Campbell, 42, poses for every single editorial in Vogue Brazil's 38th birthday edition Flaunting it: Naomi Campbell looks amazing in this month's edition of Vogue Brazil, which sees her pose for every single editorial Dare to bare: Shot by industry legends Tom Munro, JR Duran and Jacques Dequeke, Na… Read More
Bollywood royalty Amitabh Bachchan hits the red carpet at The Great Gatsby premiere with wife Jaya Bhaduri... as they gear up for 40th wedding anniversary Bollywood royalty: Veteran actor Amitabh Bachchan celebrated his role in The Great Gatsby at the New York premiere on Wednesday, joined by wife Jaya BhaduriFull story and more photos click here - Amitabh-Bachchan … Read More
JACQUELINE WOLPER aijutia historia yake ya mapenzi DIVA wa kiwango cha juu cha filamu hapa Bongo, Jacqueline Wolper, ameonekana kujutia historia yake ya kimapenzi baada ya kufungukia kitendo cha yeye kumuanika kila aliyekuwa akimpenda kwamba kimemtibulia na sasa amejifunza… Read More
LINEX hataki kufunga ndoa ya Fasheni KUTOKANA na ndoa za mastaa wengi kuvunjika, msanii wa muziki wa kizazi kipya, Sunday Mangu ‘Linex’ amefunguka kuwa japokuwa ana mchumba hayupo tayari kuoa kwa fasheni kwa kumuiga mtu f’lani kwani anaogopa kuharibu dira nzi… Read More
1 maoni:
hongera dada mtu afaliwa na chake ila binadamu shida ukipata watakusema na ukikosa watakusema ila mungu ndio kila kitu
Post a Comment