Saturday, 11 January 2014

Bifu la Baby Madaha na Diamond bado linaendelea? soma alichokisema Baby Madaha kwenye radio.....

Ili kudhihirisha bado wana bifu Baby Madaha jana kupitia  kipindi cha Hot Mix cha EATV aliendelea kutoa vidongo juu ya Rais wa Wasafi (Diamond ) .Baby Madaha alisema Diamond ni msanii ‘wahapahapa’ akimaanisha  Tanzania na yeye akifahamika kimataifa zaidi . kama haitoshi alisema kuwa pamoja na kufanya muziki, yeye pia ni muigizaji mzuri wa filamu wakati Diamond ni muimbaji peke yake na hivyo kamwe hawezi kuwa level moja ........................

Related Posts:

  • Mtanzania auwawa Marekani POLISI wametambua mwili wa mwanafunzi wa Howard University aliyeuawa kwenye jaribio la uhalifu Alhamisi usiku. Omar Sykes, 22 (pichani), na mwanafunzi mwenzake walikuwa wanatembea maeneo ya 700 block of Fairmont S… Read More
  • Baada ya Diamond kufichua siri...........Uwoya amwaga machozi KUFUATIA habari iliyoripotiwa na gazeti tumbo moja na hili, Amani wiki iliyopita, ikiwa na kichwa cha ‘DIAMOND AFICHUA KISA CHA KULALA NA UWOYA!’, mwigizaji Irene Uwoya amemfungukia mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnu… Read More
  • Washitakiwa wa Kesi ya mauaji ya Mwanahabari Daudi Mwangosi waachiwa huru MAHAKAMA ya Wilaya ya Mufindi imetupilia mbali mashtaka yaliyokuwa yakiwakabili Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Hamad Yusuph na wenzake 42.  Kiongozi huyo pamoja na wenzake walikuwa wa… Read More
  • Celebs You Didn't Know Were Related Brandy and Ray J Some people out there still don’t know that Brandy (the singer) and Ray J (Kim K’s sex tape partner) are brother and sister. Ryan Gosling and Justin Bieber We guess Bieber got all the “annoying gene… Read More
  • Baada ya TID kuponda Wakazi ajibu mapigo Rapper Webiro Wassira aka Wakazi ameamua kufunguka baada ya TID kumponda  kuwa haoni ataimba nini huko Afrika ya Kusini kwenye show ya Big Brother Africa The Chase kinaonesha kuwa staa huyo wa ‘Kiuno’ hajui anachok… Read More

0 maoni: