Saturday, 11 January 2014

Bifu la Baby Madaha na Diamond bado linaendelea? soma alichokisema Baby Madaha kwenye radio.....

Ili kudhihirisha bado wana bifu Baby Madaha jana kupitia  kipindi cha Hot Mix cha EATV aliendelea kutoa vidongo juu ya Rais wa Wasafi (Diamond ) .Baby Madaha alisema Diamond ni msanii ‘wahapahapa’ akimaanisha  Tanzania na yeye akifahamika kimataifa zaidi . kama haitoshi alisema kuwa pamoja na kufanya muziki, yeye pia ni muigizaji mzuri wa filamu wakati Diamond ni muimbaji peke yake na hivyo kamwe hawezi kuwa level moja ........................

Related Posts:

  • Dunia imekwisha!!! OPARESHENI Fichua Maovu 'OFM' inayoendeshwa na Magazeti ya Global Publishers inaendelea, hivi karibuni mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Ezekiel Malika 'Baba Kulwa' amenaswa gesti na mkewe akiserebuka na shoga aitwa… Read More
  • Sheha wa Tomondo omamwagiwa Tindikali Zanzibar Jana usiku mtu asiyejulikana alimvamia Sheha wa Tomondo Mohammed Omary Said (pichani) na kumwagia Tindikali sehemu za uso na kifua na kumsababishia  majeraha na maumivu makali, tukio hilo lilitokea jana usiku wakati S… Read More
  • Familia ya mzee RUKSA matatani? FAMILIA ya Rais wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi imejikuta matatani kufuatia nyumba namba 13, kitalu 33F iliyopo Mtaa wa Mwinjuma, Kinondoni, jijini Dar anayoishi mjukuu wake, Abood Ha… Read More
  • Hukumu ya RAMA ‘mla watu ’ Vilio, Vicheko! HUKUMU ya kuwaachia huru washitakiwa waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya mauaji, Ramadhan Seleman Mussa ‘Rama Mla Watu’ na mama yake, Khadija Ally Seleman imeibua vicheko na vilio katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, … Read More
  • Majambazi yavamia gari na kupora milioni 40 Majambazi yaliyokuwa na silaha aina ya SMG yakiwa na pikipiki aina ya Bajaj Boxer yamevamia gari ndogo aina ya Toyota Vitz yenye no za usajili - T929 CCX (pichani juu) leo mchana katika  eneo la Sayansi… Read More

0 maoni: