Saturday, 11 January 2014

Bifu la Baby Madaha na Diamond bado linaendelea? soma alichokisema Baby Madaha kwenye radio.....

Ili kudhihirisha bado wana bifu Baby Madaha jana kupitia  kipindi cha Hot Mix cha EATV aliendelea kutoa vidongo juu ya Rais wa Wasafi (Diamond ) .Baby Madaha alisema Diamond ni msanii ‘wahapahapa’ akimaanisha  Tanzania na yeye akifahamika kimataifa zaidi . kama haitoshi alisema kuwa pamoja na kufanya muziki, yeye pia ni muigizaji mzuri wa filamu wakati Diamond ni muimbaji peke yake na hivyo kamwe hawezi kuwa level moja ........................

Related Posts:

  • Ndoa imejibu? Ndoa imejibu Kijana full mapenzi - hapa Price William akitoka hospital jioni ya leo . Inasemakana Kijana hakutaka ajizi  kusubiri dereva wala nini mkewe alipoanza kuumwa tu akawasha gari moja kwa moja hospital ful… Read More
  • Mbunge - Sugu ni play boy?? Huyu ndiye mama wa mtoto wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aliyezaliwa hivi karibuni. Jina lake ni Faiza. Sugu amekuwa akiwachezea na kuwatema kina dada zetu wa kitanzania.....je hii ni sawa kama kiongozi w… Read More
  • MAINDA asababisha RAY na STEVE NYERERE wawe paka na chui ..... MASTAA wawili wenye majina makubwa ndani ya Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ wanadaiwa kuwa kwenye bifu zito kisa kikielezwa kuwa ni mwigizaji ‘sistaduu’, Ruth Suka ‘Mainda’, Amani limen… Read More
  • Siri ya Mapinduzi ya mapenzi ya WEMA na DIAMOND yafichuka Penzi jipya Kikulacho kinguoni  mwako .....Wema na Penny kumbe walikuwa mashostito? SIRI ya Mtangazaji wa Televisheni ya DTV, Penniel Mungilwa ‘Penny’ kumpindua Wema Isaac Sepetu kwa mwanamuziki Nasib Abdul ‘… Read More
  • SNURA ndani ya penzi la DJ POZI la staa wa sinema Bongo, Snura Mushi na Dj Ommy Crazy wa Maisha Club kama walivyonaswa na kamera ya Tollywood Newz linatoa ishara kwamba ni wapenzi. Fukuafukua za kitaani zinaeleza kuwa wawili hao ni wapenzi… Read More

0 maoni: