Friday, 20 December 2013

Baby Madaha azidi kumponda Diamond... asema akawatishie watoto wenzie wa Tandale

MWIGIZAJI na mwanamuziki Bongo, Baby Joseph Madaha amemchana Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwa kumwambia awatishie watoto wa Tandale kwani hana ubavu wa kuchuana naye. Akizungumza na paparazi wetu, Baby alifunguka kuwa anamshangaa Diamond kujibu kuhusu jinsi alivyomchana wiki kadhaa zilizopita gazetini na kusema yeye hamuwezi kwani alimtangulia kuchomoka kistaa.

“….akiwa bado ana-struggle kupata mkwanja awatishie watoto wenzake wa Tandale, mimi nishazindua brand yangu ya manukato na mikoba ya zawadi, bidhaa ambazo zinaingia sokoni rasmi Desemba 31, awatishe haohao watoto wenzake, mimi siyo saizi yake,” alisema Baby. Diamond alipotafutwa, simu yake iliita bila kupokelewa.
Kwa hisani GPL

Related Posts:

  • Kikongwe chamiliki Danguro? ILE Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ chini ya Global Publishers ipo kazini! Safari hii imekutana na tukio la aina yake baada ya kumnasa kikongwe mmoja anayedaiwa kumiliki idadi kubwa ya madanguro katika uwanja wake na kuwa… Read More
  • Umejifunza nini kupitia picha hizi? Kujua kilicho nyuma ya pazia bonyeza hapa -Mikao ya Utata … Read More
  • Diamond awekeza kwenye ardhi? WAKATI Wema Isaac Sepetu akiongeza idadi ya magari kwa kununua mkoko wa maana, zilipendwa wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amemziba mdomo baada ya kununua eneo kubwa ambalo ndani yake kuna nyumba tatu, jirani na anapo… Read More
  • Jokate anaswa kimahaba na mwanaume PICHA ya Miss Temeke 2006, Jokate Mwegelo ‘Kidoti‘ akiwa na mwanaume kimahaba imenaswa na kufi kishwa kwenye dawati la Amani. Chanzo makini kimeitonya Centre Spread kuwa Jokate ameamua kujiweka kwa mwanaume huyo amba… Read More
  • Kesi ya Masogange (Madawa ya kulevya) yachukua sura mpya HUKU  akiwa hajui nini hatima ya kesi inayomkabili ya kunaswa na madawa ya kulevya nchini Afrika Kusini, Video Queen Agnes Gerald ‘Masogange’ amepata balaa jipya, Ijumaa Wikienda lina taarifa kamili.   Kwa m… Read More

0 maoni: