Gari aina ya Toyota Spacio baada ya kuteketezwa kwa moto na Berry White.
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Berry White.
MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva kutoka Zanzibar, Berry White anadaiwa kuliteketeza kwa moto gari la mpenzi wake aina ya Toyota Spacio baada ya kuhisi anasalitiwa na wandani wake huyo.
Je unajua mambo 10 usiyoyajua kuhusu SHILOLE? soma hapa ....
1.Shilole ametimiza miaka 25 hii inamaana alizaliwa tarehe 18 mwezi 12 mwaka 1987
2.Shilole na watoto wawili alipata mtoto wake wa kwanza akiwa na miaka 16
3. Mpaka sasa Shilole ashacheza movie/filamu 17
4.Shi…Read More
0 maoni:
Post a Comment