Wednesday, 20 November 2013

Mapenzi noma: BERRY WHITE ateketeza gari la mpenzi wake kisa usaliti

Gari aina ya Toyota Spacio baada ya kuteketezwa kwa moto na Berry White.


Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Berry White.

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva kutoka Zanzibar, Berry White anadaiwa kuliteketeza kwa moto gari la mpenzi wake aina ya Toyota Spacio baada ya kuhisi anasalitiwa na wandani wake huyo.

Kwa hisani ya GPL

Related Posts:

  • DIVA, B 12, MCHOMVU ‘out’ CLOUDS WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na Loveness Malinzi ‘Diva’, wamepigwa chini na kituo hicho, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi.       … Read More
  • Mtoto aishi MAKABURINI WAKATI sehemu ya makaburi imekuwa ikiogopwa na watu wengi kutokana na ukweli kwamba ni makazi ya wafu, hali ni tofauti kwa mtoto wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 8-9 ambaye jina lake halikuweza kufahami… Read More
  • BABY MADAHA anaswa kwenye mtego wa kujiuza? AMA kweli maovu yanazidi kuongezeka, shetani naye mbioni siku zote kunasa waliyo wake, kauli hizo zote ziko sambamba na staa wa sinema za Kibongo na mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Baby Joseph Madaha amenaswa baada kuingi… Read More
  • FEROOZ mbaroni kwa BANGI NYOTA aliyetamba katika muziki wa kizazi kipya enzi hizo akiwa na Kundi la Daz Nundaz, Ferooz Mrisho, juzikati alikamatwa na polisi na kutupwa lupango katika Kituo Kidogo cha Mabatini, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, baada… Read More
  • Full aibu : Angalia UFUSKA kwenye MALORI KILE kikosi maarufu kilichojizolea sifa kwa utenda kazi wake cha Operesheni Fichua Maovu (OFM) kilicho ndani ya jumba la Magazeti Pendwa Tanzania, Global Publishers jijini Dar kinazidi kufichua uovu, twende pamoja ili kuju… Read More

0 maoni: