Wednesday, 20 November 2013

Mapenzi noma: BERRY WHITE ateketeza gari la mpenzi wake kisa usaliti

Gari aina ya Toyota Spacio baada ya kuteketezwa kwa moto na Berry White.


Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Berry White.

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva kutoka Zanzibar, Berry White anadaiwa kuliteketeza kwa moto gari la mpenzi wake aina ya Toyota Spacio baada ya kuhisi anasalitiwa na wandani wake huyo.

Kwa hisani ya GPL

Related Posts:

  • Mke afumaniwa live..... tena kwenye chumba chao cha kulala! TIMBWILI zito limeibuka baada ya mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Samora kumnasa ‘live’ mkewe Hadija akimsaliti kwa kuvunja amri ya 7 (usizini) na hawara ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, tena kwenye chumba chao, Ij… Read More
  • Redio ya SHAROimenifanya mauzauza MSANII wa Kundi la Green Masage, linalorusha michezo yake kupitia Televisheni ya TBC, Daniel Mmasi ‘Face Brown’ amefunguka kuwa redio ya marehemu Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ aliyoinunua, imemletea mauzauza Akizungumza… Read More
  • Mmiliki wa Home Shopping Centre hali tete HALI ni tete kuhusiana na tukio la bilionea Said Mohamed Saad kumwagiwa tindikali, athari ni kubwa. Jinsi alivyoharibika inatia simanzi lakini kumpata mhusika wa unyama huo ni kitendawili kinacholitega Jeshi la Polisi Tanz… Read More
  • Meneja wa Wema Sepetu afunguka kuhusu mahusiano yake na Wema MARA  nyingi amekuwa akionekana karibu sana na msanii wa filamu mwenye jina kubwa Bongo, Wema Isaac Sepetu. Ukaribu wao umewafanya baadhi ya watu kuhisi tofauti. Wapo waliosema ni wapenzi kutokana na picha zao za ki… Read More
  • Kaseja: sijasaini Lupopo, bado naipenda Simba KIPA wa zamani wa Simba, Juma Kaseja amesema hajasaini mkataba wa kuichezea FC Lupopo ya DR Congo ila wapo kwenye hatua nzuri ya mazungumzo lakini akasisitiza kuwa bado ana mapenzi na klabu yake ya zamani ya Simba. Ka… Read More

0 maoni: