Monday 28 October 2013

Dawa ya sukari unayoweza kutengeneza ukiwa nyumbani

Tafuta vitu vifuatavyo na kila moja kiwe na  kiasi cha gram 100 kabla hujavisaga:-


1. Shubiri 

2. Ubani 

3. Mvuje 

4. Ukwaju 

5. Habasoda
Baada ya kupata vitu vyote kama vilivyoorodheshwa hapo juu visage kwa pamoja na kisha ugawanye mchanganyiko huo  katika mafungo matatu . Changanya fungu moja na maji kiasi cha chupa mbili na uchemshe kwa dakika kumi. Ipua na iwache ipoe, chuja na hifadhi katika chupa nadhifu. 

MATUMIZI YA DAWA YENYEWE 

Tumia kila siku kikombe kimoja cha kahawa kabla ya kula chochote  asubuhi kwa muda wa siku 13. Ikiisha dawa hii basi chukua fungu  la pili na uchemshe kama ulivofanya kwa fungu la mwanzo. Tumia  dawa hii tena kwa muda ule ule wa siku 13. Itakapokwisha dawa hii basi chukua fungu la tatu na uitayarishe kamaUlivyofanya mafungu mawili ya mwanzo. Tumia dawa hii kama dawa hizo mbili za mwanzo ila tu kwa muda wa siku 14 , hii itafanya jumla ya siku za kunywa daya kuwa siku 40. 

Baada ya siku hizo 40 utajisikia kuwa ugonjwa wa kisukari umekwisha na unaweza kuanza kula vitu vyote ulivyokuwa umekatazwa. Kwa lolote kuhusu dawa hii wasiliana na TANGULA

0 maoni: