Monday 3 June 2013

Mahojiano kati ya Millard na M To The P

Leo Millard Ayo ameingia kwenye wodi aliyolazwa rafiki  wa marehemu Gwair M 2 the P na kufanikiwa kufanya mahojiano nae. M 2 the P alikiri kupata nafuu ila alilalamika kuwa kichwa na kifua bado vinamsumbua, katika mahojiano hayo M2 the P alimuulizia Mangwea

Sikiliza mahojiano yao hapa chini


0 maoni: