Friday, 7 June 2013

15% ya onyesho la Mwana FA itaenda kwa Mama yake Magwea?


Baada ya show ya Mwana FA "The Finest" Kuahirishwa ijumaa iliyopita kutokana na msiba wa Abert Mangwea, aliyefariki tarehe 28/05/2013 na kuzikwa tarehe 6/7/2013 (jana) Morogoro.The Finest imetangazwa kuwa  asilimia 15% ya mapato kutoka katika show hiyo, yatapelekwa kwa mama mzazi wa Ngwea. "nimesema kwamba nitoe hela mfukoni kwangu moja kwa moja, niipeleke huku, kwahiyo chochote nitakacho kipata, nataka kutoa 15% nimpelekee bi mkubwa...."amesema FA 


Related Posts:

  • LINNAH ndani ya penzi jipya? KIJANA aliyejipatia umaarufu kwa kumvamia msukuma kambumbu wa Real Madrid, ‘Kaka’, Nagari Kombo amedaiwa kuwa ndiye anayemiliki penzi la Mbongo Fleva, Estalina Sanga ‘Linnah’. Kwa mujibu wa chanzo makini, wawili hao w… Read More
  • Machangu Wazitikisa Ndoa za WABUNGE Ndoa za baadhi ya wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zinadaiwa kuwaka moto kufuatia kuibuka kwa wimbi la madadapoa raia wa Rwanda ambao wamekiri kuwapa uroda waheshimiwa hao wanapokuwa mjengoni, Dodoma, Ijumaa lime… Read More
  • Diamond afunguka kuhusu mafanikio yake kuhusihswa na ushirikina..... Baada ya maneno mbofumbofu kusambaa kitaa na mtu mmoja ambaye anajihusisha na tiba za Asili (Mganga wa kienyeji) kusema yeye ndio chachu ya mafanikio ya Mwanamuziki Diamondi ...mwenye kaibuka na kukanusha. Diamond kadai ku… Read More
  • Wamama wa LULU na KANUMBA wapatanishwa Mama mzazi wa Kanumba Lulu akiwa na Mama yake mara baada ya kuachiwa kwa dhamana Hatimae mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba amepatanishwa na mama mzazi wa Lulu baada ya mlolongo mrefu na mgumu wa jitihada za kuwap… Read More
  • Baada ya LULU kuachiwa kwa dhamana baba wa KANUMBA afunguka. Baba yake Kanumba  KAMA ilivyodhaniwa na wengi kwamba baba wa staa wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kusekwa atazungumzia dhamana ya Elizabeth Michael ‘Lulu’,  kweli ameibuka na kusema yupo makini kufuatlia m… Read More

0 maoni: