Friday, 7 June 2013

15% ya onyesho la Mwana FA itaenda kwa Mama yake Magwea?


Baada ya show ya Mwana FA "The Finest" Kuahirishwa ijumaa iliyopita kutokana na msiba wa Abert Mangwea, aliyefariki tarehe 28/05/2013 na kuzikwa tarehe 6/7/2013 (jana) Morogoro.The Finest imetangazwa kuwa  asilimia 15% ya mapato kutoka katika show hiyo, yatapelekwa kwa mama mzazi wa Ngwea. "nimesema kwamba nitoe hela mfukoni kwangu moja kwa moja, niipeleke huku, kwahiyo chochote nitakacho kipata, nataka kutoa 15% nimpelekee bi mkubwa...."amesema FA 


Related Posts:

  • Zitto Kabwe afunguka kuhusu fununu za yeye kuanzisha chama kipya cha siasa Baada ya kusambaa kwa habari ya Zitto Kabwe kutaka kuanzisha chama kipya cha siasa, kupitia mitandao ya jamii mbalimbali Zitto mwenyewe afunguka na kusema ..... "Kwanza, Sina mpango wa kuanzisha chama cha siasa. Mimi n… Read More
  • UJIO WA OBAMA KUFURU UJIO wa Rais wa Marekani, Barack Obama ni kufuru tupu, kiasi cha fedha ambacho kinachotumika kugharamia ziara yake peke yake kinazidi mara mbili ya kile kilichoteketea pale mtangulizi wake, George W. Bush, alipotembelea n… Read More
  • Baada ya Jeshi la Polisi kutoa kauli yake JOYCE KIRIA nae afunguka Baada ya Jeshi la polisi kupitia msemaji wake kutoa kauli yao baada ya Joyce Kiria kuita waandishi wa habari na kuongea nao kuhusu sakata la kutojua mumewe alipo   Joyce Kiria aamua kuweka bayana yaliyo moyoni kupiti… Read More
  • NATASHA afundwa? HUKU siku za kufunga ndoa zikihesabika, mkongwe kwenye filamu za Kibongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ amefanyiwa sherehe ya kufundwa kabla ya kwenda kwa mumewe ambayo huko mitaani inajulikana zaidi kwa jina la singo. Shugh… Read More
  • Mrisho Ngassa aililia TFF MSHAMBULIAJI Mrisho Ngassa amesema yeye ni mchezaji halali wa Yanga na siyo Simba. Ngassa alikuwa mchezaji wa kwanza kutangazwa kwenye usajili wa Yanga msimu huu akitokea kwenye kikosi cha Simba ambacho alikuwa akiki… Read More

0 maoni: