![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjuAACdhfK4_JLje5JpTwMkcVjub0Zj-De6tCKGA-NtlPmroh94wEQV-2p1ED5aYk_bAO4TaXUgK71E-pUx8v1YRFiaf8qvugu7vIR2aumlsg4XLJd7jzCJxdw8fAoITAp_jnzOveCdJc0/s400/mwana+fa.jpg)
Baada ya show ya Mwana FA "The Finest" Kuahirishwa ijumaa iliyopita kutokana na msiba wa Abert Mangwea, aliyefariki tarehe 28/05/2013 na kuzikwa tarehe 6/7/2013 (jana) Morogoro.The Finest imetangazwa kuwa asilimia 15% ya mapato kutoka katika show hiyo, yatapelekwa kwa mama mzazi wa Ngwea. "nimesema kwamba nitoe hela mfukoni kwangu moja kwa moja, niipeleke huku, kwahiyo chochote nitakacho kipata, nataka kutoa 15% nimpelekee bi mkubwa...."amesema FA
0 maoni:
Post a Comment