MWIGIZAJI mwenye mvuto, Yobunesh Yusuf ‘Neshi’ amesema anatamani sana kufanya kazi na Mbongo Fleva, Ambwene Yesaya ‘AY’ kwani anamvutia. Akizungumza na Stori 3, Neshi alibainisha kuwa licha ya AY kufanya muziki na yeye filamu, muonekano wa staa huyo umekuwa ukimvutia kuigiza naye muvi. “Yaani siyo siri AY ananivutia sana, ipo siku nadhani nikifanikiwa kuzungumza naye na akakubali basi nitafanya naye kazi,” alisema Neshi.
Monday, 15 April 2013
Home »
Celebrities News
» Neshi amtamani AY?
Neshi amtamani AY?
Categories: Celebrities News
Related Posts:
Ready to Po.......... Habari zake zaidi bonyeza hapa - Amber Rose … Read More
Swaga za Lady GAGA... … Read More
Baada ya MWISHO na MERRY , sasa ni zamu ya PREZZO na GOLDIE Kwa mujibu wa mitandao mbalimbali nchini Nigeria,Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini kenya Jackson Makini al maarufu Prezzo anatarajia kufunga ndoa na mwanamuziki wa Nigeria Goldie February 9. Prezzo na Gol… Read More
Date night! Habari nzima bonyeza hapa … Read More
Magazeti pendwa … Read More
0 maoni:
Post a Comment