Ama kweli wabongo kwa Ngono tumerogwa............... Haya sakata la ngono lapiga hodi kwa wacheza mpira sasa...........Mcheza Mpira Maarufu wa Team ya Simba Mrisho Ngasa ameripotiwa na gazeti la Ijumaa kuwa ameingia katika kashfa ya kujirekodi video huku akifanya mapenzi ... ili kuonyesha wana uhakika na wanachokisema gazeti hilo linadai kuwa lina video hiyo ambayo ina dakika kama 15 na inaonekana wakiwa uchi wa mnyama na msichana.
Tuesday, 11 December 2012
Home »
Celebrities News
,
Magazeti pendwa
» Pepo la ngono lahamia kwenye Football - MRISHO NGASA ndani ya video ya ngono
Pepo la ngono lahamia kwenye Football - MRISHO NGASA ndani ya video ya ngono
Categories: Celebrities News, Magazeti pendwa
Related Posts:
Kaseja akumbwa na balaa lingine! Rais Lupopo amuita paspoti yake yaibwa KIPA wa zamani wa Simba, Juma Kaseja, ameendelea kukumbana na mikasa lukuki baada ya paspoti yake kuibwa katika hali ya utatanishi huku rais wa Klabu ya FC Lupopo, Victor Kasongo Ngoy, akimtaka aende DR Congo wiki hii.&nb… Read More
Ney wa Mitego ammwaga mpenzi wake? Msanii wa Bongo flava asiyeogopa kitu hasa kwenye kuongea neno Emmanuel Munisi aka Ney wa Mitego jana kupititia mitandao ya kijamii aliacha ujumbe wa utata ambao unahisiwa kama wa ukweli......alianza kwa kuandi… Read More
Angalia Wastara alivyosherejea sikukuu ya Idd El Fitr … Read More
MASOGANGE mikononi kwa MWAKYEMBE! VIDEO Queen wa wimbo wa Masogange wa Belle 9, Agnes Gerald ‘Masogange’ amejikuta mikononi mwa Waziri wa Uchukuzi, Dr. Harrison George Mwakyembe akichukua dakika kadhaa kumzungumzia huku akiwa ameshika iPad yenye picha za m… Read More
Biggest Beauty No-No's Christina hit the great trifecta of beauty fails with this one: over bronzed, invisible brows and sparse spider lashes. …to over powdering. Blend, blend, blend! Keep your lipstick from bleeding with an outer liner i… Read More
0 maoni:
Post a Comment