Jamani hivi nani kasema mapenzi yana umri au ukifikia umri fulani basi hisia za kimapenzi zinapotea? Hakuna kitu kinachoongeza urefu wa maisha kama mapenzi na hasa ukipata mtu wa kukupenda mkapendana.... mapenzi ya kweli yanaweza umchukie Mungu kwa sababu ya kifo na kuhisi kushindwa kuishi kama mwenza wako atakufa..................... Tupendane, tuheshimiane ili tuweze kuishi maisha yenye amani na furaha...
Tuesday, 11 December 2012
Mapenzi hayana umri!!!!!!!!!!
Categories: Mahusiano
Related Posts:
Halle Berry and Olivier Martinez's baby name revealed: Couple chose heavenly moniker for their little 'gift from God' Proud parents: Halle Berry and Olivier Martinez, pictured in 2011, have chosen an unusual name for their new son What's old is new again for Halle Berry and her husband Olivier Martinez. On Monday the name of their son,… Read More
World's oldest dad, 97, devastated after wife leaves him following disappearance of their son Ramajit Raghav claimed to be the oldest man to father a child aged 94 But wife Shakuntala Devi left him after their older boy disappeared Split: World's oldest dad Ramjeet Raghav says he is devastated after his wife… Read More
Haya huwafanya baadhi ya wanawake (Mabinti) kusita kuingia katika ndoa… Vijana wengi wa kiume hujikuta katika wakati mgumu kuchukua maamuzi ya kuishi na mwanamke japo yawezekana wakawa wanatamani kufanya hivyo kwa muda mrefu kutokana na vikinza vingi, vingine vikiwa ni vya kimaisha na vingine… Read More
Hii ni kwa Wanaume Kuna baadhi ya familia ....mwanaume akishindwa baadhi ya majukumu yake hasa ya kipato ni kawaida kusikia mume akimwambia mkewe 'fanya maarifa' au ufanye maarifa basi'................... Hivi hili hasa linaamaanisha nini?… Read More
Lina kuolewa hivi karibuni? MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya Estelina Sanga aka 'Linah', siku za hivi karibuni kaamua kuvunja ukimya kwa kutojali muonekano wa vidole vyake .......inasemekana Linah alionekana akiwa am… Read More
0 maoni:
Post a Comment