Jamani mambo mengine wafanye watoto wakifanya wakubwa tunaweza kutoa majina tunaonekana kama tunawatusi...... tuongee ukweli kabisa hivi kweli huu ni uwanja wa ndege au masihara? ukiuliza gharama ya ujenzi unaweza kukimbia .... jamani tufikie wakati tue serious ili hata ukihitajika kutoa maelezo watu wanakuelewa .....haya angalia uwanja wa ndege Singida .... Haya wahusika mpo?!!!
Tuesday, 4 December 2012
Jamani tuache masihara kabisa
Categories: General, Vituko mtaani
Related Posts:
Muziki wa Bongo unalipa?!!! NEY wa Mitego aibuka na Mark X Rapper machachari wa Kitanzania NEY wa Mitego Kupitia akaunti zake Facebook na Instagram afichua siri ya kumiliki gari jipya baada ya kuandika ujumbe huu ‘My new car. Mark X, Zic z wat I nid.… Read More
The geriatric 'rapist': 93-year-old Australian carried into court to face charges of raping four sisters aged 7 to 15 Karl Joseph Kraus is too ill to stand trial, according to his lawyers Australian fled to Burma last year but was arrested and taken to Thailand On trial: Karl Joseph Kraus, 93, being carried by fellow inmates from a … Read More
Usupa staa kazi! Diamond awaponda watu wanaomkebehi … Read More
Kuna ukweli wowote kwenye hili? Yaani huku duniani kuna vituko kweli........ binafsi nashindwa kuelewa kabisaaa hili suala....... ni kwanini Wanawake wengi wanapenda watu wanaodrive magari? unajua sometimes inachekesha sana utakuta Mwan… Read More
Kuna ukweli wowote kuhusu hili? … Read More
0 maoni:
Post a Comment