Yaani hii inaitwa nisipitwe..... aaaah baada ya kuinjoy na ulichoamua kukifanya mwisho wake inakuwa kama mateso! jamani sasa hivi viatu na hii miguu vinaendana kweli au ndio mnatafuta ugomvi na watu mtaani?
Friday, 7 December 2012
Home »
Vituko mtaani
» Hizi Fashioni zitatuua....
Hizi Fashioni zitatuua....
Categories: Vituko mtaani
Related Posts:
Lipi kati ya haya bado unafanya?1. Kupakwa GV kwenye kidonda2. Kung'olewa jino kwa uzi3. Ubwabwa kupikwa j2 tu4. Kidonda kuwekwa unga wa rangi mbili'5. Kupamba kadi sebuleni6. Ukumbi wa sherehe kupambwa kwa toilet paper7. Kunyolewa na mkasi8. Kufu… Read More
?????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!… Read More
KANISA lingine la ajabu laibuka Dar.. Jumanne waifanya Jumapili yao!!Kanisa hilo ambalo linajulikana kwa jina la The Pool of Siloam lililoko Mbezi- Makonde, Kinondoni, Dar es Salaam linafanya ibada zake Jumanne badala ya Jumapili wakiamini ndivyo Neno la Mungu linavyotaka.Jambo lingine ambalo … Read More
KONYAGI yamfikisha pabaya mwanafunzi wa UDOM .... hebu angalia picha zake hiziMwanachuo mmoja amekutwa na camera za mtaani akiwa hoi baada ya kugida mipombe bila kula msosi. jamaa huyu alikuwa na washkaji zake ambapo wote walikuwa wamelewa na kukosa msaada baada ya kuwa hakuna wa kumsaidia mwenza… Read More
!!!!!!!!!!????????????… Read More
0 maoni:
Post a Comment