Yaani hii inaitwa nisipitwe..... aaaah baada ya kuinjoy na ulichoamua kukifanya mwisho wake inakuwa kama mateso! jamani sasa hivi viatu na hii miguu vinaendana kweli au ndio mnatafuta ugomvi na watu mtaani?
Friday, 7 December 2012
Home »
Vituko mtaani
» Hizi Fashioni zitatuua....
Hizi Fashioni zitatuua....
Categories: Vituko mtaani
Related Posts:
Je hii ni haki? kwao sawa ila kwa wengine ni tatizo.................… Read More
Dunia imekwisha sasa kuna majeneza yenye uwezo wa kuburudisha marehemu kaburini............Geneza hili lina uwezo wa kutoa burudani ya muziki kwa marehemu baada ya kuzikwaWateja wanaweza kuchagua nyimbo watazopenda kusikiliza kabla hawajafa kwa kulipia Geneza hili linalogharimu Paundi 20,000Imefahamika kuwa n… Read More
Chezea Jeshi wewe!Dhahama hii iliwapata hawa wakaka baada ya kukatika kwenye eneo la jeshi.................. mmmmmh jamani wanastahiri adhabu hii? Je kulikuwa na vibao vya tafadhali usikatize hapa?… Read More
Muogope mtu huyu .... Ndie Kiongozi wa kundi la Wezi wa Power Window Tanzania, Rama Jangiri…Huyu ndiyo kiongozi wa kundi la wezi wa power window Tanzania, Rama Jangiri…Hapa ni baada ya kukamatwa huko tegeta akiwa hotelini ...Alikamatwa Baada ya kuiba Vitu kwenye gari ya jamaa mmoja maeneo ya Mbezi katika vitu Alivyo… Read More
Tukubali ,tukatae lakini kufumaniwa ni nomaaaaa hebu angalia picha hizi.Unaweza ukajikuta unamwamkia hata mtoto wa miaka miwili!!!!!!!!!!!!! Vya watu vibaya usione vyaelea ujue vimeundwa, tuogope vya watu ili kuepuka kuzalilika … Read More
0 maoni:
Post a Comment