![](http://2.bp.blogspot.com/-CKS6YytzXQo/Ur8lb_joC4I/AAAAAAAAGcw/JUznXAPRTb8/s320/baby%2Bmadahaw.jpg)
![](http://api.ning.com/files/uY3PJt2fxPz8Qd9WPoDUfzJoVYhc1hoS5dLLt*otBpuWrj8ZmQbAqWzmpEfBydUYxQPH9UDgbUWirqYdXUaCsSOU3sYwb5GE/diamond1.jpg)
Ili kudhihirisha bado wana bifu Baby Madaha jana kupitia kipindi cha Hot Mix cha EATV aliendelea kutoa vidongo juu ya Rais wa Wasafi (Diamond ) .Baby Madaha alisema Diamond ni msanii ‘wahapahapa’ akimaanisha Tanzania na yeye akifahamika kimataifa zaidi . kama haitoshi alisema kuwa pamoja na kufanya muziki, yeye pia ni muigizaji mzuri wa filamu wakati Diamond ni muimbaji peke yake na hivyo kamwe hawezi kuwa level moja ........................
0 maoni:
Post a Comment