Dhahama hii iliwapata hawa wakaka baada ya kukatika kwenye eneo la jeshi.................. mmmmmh jamani wanastahiri adhabu hii? Je kulikuwa na vibao vya tafadhali usikatize hapa?
Wahaya ni nomaaaaaaaaaaaaJamani tukubali au tukatake ila Wahaya kwa kujisifia ni nomaa, unaweza ukavunja mbavu kwa kucheka hasa pale unapofanya mazungumzo nao , yaani ni kosa kubwa kwao kufanya mazungumzo na watu bila kujisifia, unaweza kushang…Read More
0 maoni:
Post a Comment