Dhahama hii iliwapata hawa wakaka baada ya kukatika kwenye eneo la jeshi.................. mmmmmh jamani wanastahiri adhabu hii? Je kulikuwa na vibao vya tafadhali usikatize hapa?
Dunia imeisha?Je kulikuwa na umuhimu wa hela hizi kutumika kwa njia hii? kuna wangapi wenye shida na matumizi ya muhimu ya hela hizi ? jamani ifikie wakati tumuogope MUNGU na kupunguza mambo yasiyo ya lazima na kufanya yale tayayoleta bara…Read More
Uongo mwingine i nomaaaa!Jamani jamani mambo mengine haya mtakuja kuaibika mtaani bure! yaani siku hivi watu bila kudanganya hawaoni raha.... sijui kwa nini lakini utakuta mt anakubali kuishi maisha sio yake kisa sifa au anataka kufanana na fulani, k…Read More
Aogeshwa mkojo baada ya kufumaniwa na Mume wa mtuUkistaajabu ya Musa utaona ya firauni .................................. picha hii imechukuliwa huko uswahili ikionyesha adhabu aliyopewa mdada mmoja baada ya kufumaniwa na mume wa mtu! ila hajijalikana kama mkojoaji nd…Read More
0 maoni:
Post a Comment