Monday, 11 November 2013

Chezea kiinglish wewe? Shilole aumbuka.....

Bongo Daresalama! Chezea watoto wa mjini wewe? ama kweli ukistaajabu ya MUSA utaona ya filauni.... Hivi kuongea kiinglish ni lazima? Na usipoongea itakuwaje? mbona hivi jamani mnatuletea mambo meusi? Mbona kuna masupastaa kibao kwenye baadhi ya nchi hawajui kiinglish na wamekuwa maarufu? mbona hivyo jamani? mbona mnatafuta ugomvi na watu??????  .........Hivi karibuni Shilole aliamua kutumia lugha ya kiingereza kwenye ukurasa wake wa jamii"Instagram", katika moja ya njia zake za kuonyesha shukrani kwa  Muongozaji wa video yake ya ‘Nakomaa na Jiji’ ..... Bahati mbaya, ung'eng'e kwake inaonyesha ni kitendawili!!!!!!  na hii imepelekea kuwavuta watu wengi kusoma ujumbe huo na kuanza kujadili kama Kiingereza ni kitu cha lazima au watu masupastaa wetu wanaweza tu kutumia lugha yao? hebu soma hapa chini uone SHILOLE alivyoandika....... 
I did ever think I would do a nice video like this thank you alot to my director Nisherbybee. 

Related Posts:

  • Mwizi wa kutumia bodaboda auawa KIJANA mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja anayedaiwa ni mzoefu wa wizi kwa kutumia usafiri wa pikipiki ‘bodaboda’, ameuawa baada ya kumliza mwanamke aliyetambulika kwa jina la Jusmini. Tukio hilo … Read More
  • Mashetani yavamia shule ya Sekondari Manzese Wanafunzi wa shule ya Sekondari Manzese iliyopo Manzese Uzuri, jijini Dar es Salaam jana wamevamiwa na mashetani na kuanguka hovyo darasani huku wakipiga kelele na kuongea maneno yasiyoeleweka na kusababisha hofu kutanda … Read More
  • LEMA abaka? BINTI mrembo aitwaye Flora Bahati Lyimo (pichani) anamtuhumu mbunge mmoja ‘mtata’ wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloongozwa na Spika Anne Makinda (jina tunalo) kuwa amembaka, Uwazi lina kisa cha aibu ya … Read More
  • Barua ya mapenzi toka kwa Brother man .... Chezea Kiinglish wewe? Dalling , Me Love u. if u loveng and i will hepi. also when look u i filling my hurt moves fast fast like woch clock. wen to drinking wota in glas cup me i seen you pikcha u looked very goodsome. plizi answer me likwest t… Read More
  • Namfuata MWISHO Namibia LICHA ya Mwisho Mwampamba kuwa mume wa ndoa wa Meryl Shikwambane, msanii wa filamu na muziki Bongo, Baby Madaha amesema anajiandaa kwenda nchini Namibia wanapoishi wanandoa hao kwa lengo la kujumuika na Mwisho na kula ba… Read More

0 maoni: