MASOGANGE atua BONGO?
VIDEO Queen wa Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ alitarajiwa kutua nchini jana Jumatano akitokea Afrika Kusini huku siri nzito ya mzigo aliodakwa nao ikitawala, Amani linakujuza. Masogange anakuja Bongo baada ya kumaliz…Read More
Habari kamili kuhusu na DIAMOND na WEMA hii hapa ......
Kuna sababu zaidi ya 100 kuwa ‘ile inayoitwa’ movie ya Diamond na Wema Sepetu iliyopewa jina na Diamond, ‘Temptations’ haipo na kama unaingoja, utaingoja hadi miguu iingie tumboni. Hakuna movie. Diamond na Wema Sepetu…Read More
P- Square kutua Bongo
WASANII wanaounda kundi la P Square, Peter na Paul Okoye wanatarajia kutua nchini kwa ajili ya kutoa burudani Novemba 23 kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo limeandaliwa na East Afr…Read More
0 maoni:
Post a Comment