KIJANA aliyejipatia umaarufu kwa kumvamia msukuma kambumbu wa Real Madrid, ‘Kaka’, Nagari Kombo amedaiwa kuwa ndiye anayemiliki penzi la Mbongo Fleva, Estalina Sanga ‘Linnah’. Kwa mujibu wa chanzo makini, wawili hao wamekuwa wakionekana kwenye viwanja tofauti vya starehe na mara kwa mara wamekuwa wakishea vitu vyao ikiwamo gari la Linnah.
“Mbona siyo siri, Linnah na Nagari ni wapenzi kitambo na siku hizi wanajiachia bila kificho kwa raha zao. Hawamuogopi mtu,” kilisema chanzo hicho kilichoomba hifadhi ya jina lake. Paparazi wetu alipomtafuta Linnah kuhusiana na ishu hiyo, alipokea simu na alipoulizwa kinachoendelea baina yao alikata simu fasta na kuizima kabisa.
Thursday, 14 February 2013
Home »
Celebrities News
» LINNAH ndani ya penzi jipya?
LINNAH ndani ya penzi jipya?
Categories: Celebrities News
Related Posts:
Makubwa haya ..... MAINDA akiri kutoa mimba ya RAY , asikitishwa alivyochanganywa na Johari na Chuchu Hans... HILI ndiyo Risasi bwana! Sikia, kama ulikuwa hujui ni kwamba msanii mkongwe katika filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ ameibuka na kueleza mengi ikiwemo kutoa mimba ya mpenzi wake wa siku nyingi, Vincent Kigosi, tulia ha… Read More
Just the two of us! Kim Kardashian and Kanye West leave North at home to enjoy a romantic dinner date night Date night: Kim and Kanye were spotted dining out in Philadelphia where the rapper's due to perform as part of his Yeezus tour Matching coats: The couple both kept warm in wintery fur coats - which Kim paired with g… Read More
Lovebirds Jordin Sparks and Jason Derulo bring their undeniable chemistry to the stage as they perform a Christmas duet at Disneyland Making beautiful music together: Lovebirds Jason Derulo and Jordin Sparks showed off their undeniable chemistry as they took to the stage to perform as part of the Disney Parks Christmas Day Parade TV Christmas special on … Read More
Umaarufu kazi! Kuna sababu ya kufanya haya yote? … Read More
More than friends? Baaada ya Staa wa sinema na muziki Bongo, Snura Anton Mushi na Kiungo Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Khalfan Ngassa kunaswa kimahaba hapo jana, leo Mwanadada Snura Mushi amfunguka na kudai kuwa Ngassa ni raf… Read More
0 maoni:
Post a Comment