KIJANA aliyejipatia umaarufu kwa kumvamia msukuma kambumbu wa Real Madrid, ‘Kaka’, Nagari Kombo amedaiwa kuwa ndiye anayemiliki penzi la Mbongo Fleva, Estalina Sanga ‘Linnah’. Kwa mujibu wa chanzo makini, wawili hao wamekuwa wakionekana kwenye viwanja tofauti vya starehe na mara kwa mara wamekuwa wakishea vitu vyao ikiwamo gari la Linnah.
“Mbona siyo siri, Linnah na Nagari ni wapenzi kitambo na siku hizi wanajiachia bila kificho kwa raha zao. Hawamuogopi mtu,” kilisema chanzo hicho kilichoomba hifadhi ya jina lake. Paparazi wetu alipomtafuta Linnah kuhusiana na ishu hiyo, alipokea simu na alipoulizwa kinachoendelea baina yao alikata simu fasta na kuizima kabisa.
Thursday, 14 February 2013
Home »
Celebrities News
» LINNAH ndani ya penzi jipya?
LINNAH ndani ya penzi jipya?
Categories: Celebrities News
Related Posts:
Mzee Mangula kufunga ndoa na mwalimu leo... Mwanasiasa mkongwe, mwadilifu, asiyependa makuu ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Phillip Mangula anatarajia kufunga ndoa leo tarehe 6/4/2013 katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri… Read More
CLOUD afunguka na kusema "Siwafichi watoto wangu wa nje ya ndoa" MAMBO vipi mpenzi msomaji wa safu ya Staa na Mwana kama ilivyo kawaida ya safu hii ni kuwafuata mastaa ambao wamejaliwa kupata watoto, haijalishi wakiwa ndani ya ndoa au nje.Leo tumekutana na Mussa Issa ‘Cloud’ uk… Read More
Mapema jana wanamuziki Diamond Platnumz na Mshikaji wake Ommy dimpoz kupitia kurasa zao Twitter walifanya mazungumzo yaliyoacha maswali kibao yasiyo na majibu ...... hebu soma hapa chini … Read More
JOSEPH SHALUWA amchana live JACK wa CHUZ Kwako, Jacqueline Pentizel ‘Jack wa Chuz’. Pole kwa changamoto ulizokutana nazo juzi hotelini wakati ukiwa na mteja aliyetaka kuspendi na wewe kwa dola 500. Ni ajali kazini, usiwaze sana. Tatizo nini ujue s… Read More
Mzee wa Blig Bling full vituko angekuwa Bongo ingekuwa so Pata uhondo wote hapa - Mzee wa Blig Bling na vituko vyake … Read More
0 maoni:
Post a Comment