Jamani tukubali au tukatake ila Wahaya kwa kujisifia ni nomaa, unaweza ukavunja mbavu kwa kucheka hasa pale unapofanya mazungumzo nao , yaani ni kosa kubwa kwao kufanya mazungumzo na watu bila kujisifia, unaweza kushangaa hata issue ya msiba wao misifa full hebu soma hapa .... Ni juzi tu nimesikia hii kwenye matangazo ya vifo.....!Ndugu Jestus Rweyemamu wa Oysterbay Dar es salaam anasikitika kutangaza kifo cha mtoto wake wa kiume Josephat Jestus Rweyemamu kilichotokea jana huko Italia baada ya kupaliwa na Burger akiwa anaendesha gari yake mpya aina ya HAMMER aliyonunua hivi karibuni, Msiba utafanyika kwa Shangazi yake huko Washingtown DC Marekani. Taarifa ziwafikie kaka yake mkubwa akiwa UK, dada yake mkubwa akiwa South Africa, ndugu yake wa mwisho akiwa Uswisi bila kumsahau pacha wake anayechukua Phd huko Austraria ............................. aaaaaaah jamani haya yote yanahusu? acheni hizo bwana....
Tuesday, 15 January 2013
Home »
Vituko mtaani
» Wahaya ni nomaaaaaaaaaaaa
Wahaya ni nomaaaaaaaaaaaa
Categories: Vituko mtaani
Related Posts:
Watoto wa siku hizi balaa.... Habari wanajamvi. Ngoja nami niwe mtoto kidogo kwa kusimulia na kutoka kasiri ka mambo ya kitoto. Wiki iliyopita nilikuwa natoka zangu Mbeya kuelekea Dar es salaam kwa basi moja hivi. Jirani yangu kwenye siti alikuwa … Read More
Pamoja na yote anayoyafanya lakini hapa kakomolewa........UWOYA presha inapanda., presha inashuka NYOTA wa filamu za Kibongo, Irene Pancras Uwoya ‘Mama Krrish’ ametoa kali ya mwaka baada ya kudai kwamba amemshika ugoni msanii mwenzake, Lucy Komba mara baada ya kuziona picha za msanii huyo akiwa na mumewe, Hamad Ndiku… Read More
Bongo kila siku mapya.... Baada ya Shilole Kupiga Mkwara Sinta aandika hivi .............. Seriously najisikia raha sana pale ninapotafutwa kama udi na uvumba especially ninafanya nini na mambo yangu yananiendeleaje, kumbe nina kikiiii ya hatariii aaah sana, Thank u sweeriesss maana ninajisikia burudani w… Read More
Ipe maneno hii picha … Read More
WEMA jela inamuita! KUNA kila dalili kwamba mrembo anayetamba kwenye filamu za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ au Madam jela inamwita na anatakiwa kufanya maombi ili kukwepa kifungo maishani mwake. Hali hiyo inafuatia s… Read More
0 maoni:
Post a Comment