Jamani tukubali au tukatake ila Wahaya kwa kujisifia ni nomaa, unaweza ukavunja mbavu kwa kucheka hasa pale unapofanya mazungumzo nao , yaani ni kosa kubwa kwao kufanya mazungumzo na watu bila kujisifia, unaweza kushangaa hata issue ya msiba wao misifa full hebu soma hapa .... Ni juzi tu nimesikia hii kwenye matangazo ya vifo.....!Ndugu Jestus Rweyemamu wa Oysterbay Dar es salaam anasikitika kutangaza kifo cha mtoto wake wa kiume Josephat Jestus Rweyemamu kilichotokea jana huko Italia baada ya kupaliwa na Burger akiwa anaendesha gari yake mpya aina ya HAMMER aliyonunua hivi karibuni, Msiba utafanyika kwa Shangazi yake huko Washingtown DC Marekani. Taarifa ziwafikie kaka yake mkubwa akiwa UK, dada yake mkubwa akiwa South Africa, ndugu yake wa mwisho akiwa Uswisi bila kumsahau pacha wake anayechukua Phd huko Austraria ............................. aaaaaaah jamani haya yote yanahusu? acheni hizo bwana....
Tuesday, 15 January 2013
Home »
Vituko mtaani
» Wahaya ni nomaaaaaaaaaaaa
Wahaya ni nomaaaaaaaaaaaa
Categories: Vituko mtaani
Related Posts:
Tukubali ,tukatae lakini kufumaniwa ni nomaaaaa hebu angalia picha hizi.Unaweza ukajikuta unamwamkia hata mtoto wa miaka miwili!!!!!!!!!!!!! Vya watu vibaya usione vyaelea ujue vimeundwa, tuogope vya watu ili kuepuka kuzalilika … Read More
Chezea Jeshi wewe!Dhahama hii iliwapata hawa wakaka baada ya kukatika kwenye eneo la jeshi.................. mmmmmh jamani wanastahiri adhabu hii? Je kulikuwa na vibao vya tafadhali usikatize hapa?… Read More
Je hii ni haki? kwao sawa ila kwa wengine ni tatizo.................… Read More
Dunia imekwisha sasa kuna majeneza yenye uwezo wa kuburudisha marehemu kaburini............Geneza hili lina uwezo wa kutoa burudani ya muziki kwa marehemu baada ya kuzikwaWateja wanaweza kuchagua nyimbo watazopenda kusikiliza kabla hawajafa kwa kulipia Geneza hili linalogharimu Paundi 20,000Imefahamika kuwa n… Read More
Muogope mtu huyu .... Ndie Kiongozi wa kundi la Wezi wa Power Window Tanzania, Rama Jangiri…Huyu ndiyo kiongozi wa kundi la wezi wa power window Tanzania, Rama Jangiri…Hapa ni baada ya kukamatwa huko tegeta akiwa hotelini ...Alikamatwa Baada ya kuiba Vitu kwenye gari ya jamaa mmoja maeneo ya Mbezi katika vitu Alivyo… Read More
0 maoni:
Post a Comment