Jamani nimeona si mbaya nikawajulisha hili! manake kuna watu wameshakuwa keroooooo kwa kuwa na hii tabia!! . Kuna WANAUME ambao mara ya kwanza wakikutana na wadada watajichetua na kusema maneno mengi yasiyo na maana utafikiri wamekunywa maji ya chooni! mara oooh nitakupeleka lunch ama dinner kwenye hoteli fulani mara ooh wewe chagua usiwe na wasiswasi hapa ni BOT hapaishiwi kitu na kumbe ana lolote full usanii hana analolijua wala kujijua !!! tena ni mpita njia tu anataka kukuharibia ili uingie line na akishakuweka katika timeline yake basi umebugi womeeen. Wanaume wengine utawasikia ohoo nitakujengea nyumba ya ghorofa wakati yeye mwenyewe anaishi banda la uani Tandale kwa tumbo! , hana hata godoro sasa hilo ghorofa analiota ndotoni tu . Nataka kuwataadharisha wadada na wamama acheni tabia ya kumzoea mtu kwa siku na kufanya urafiki wa nguvu naye si busara wala sio vyema kabisa wanawadanganya hao ni matapeli wa mapenzi hawana jipya hao hizo ni style za mjini women, ni vyema ukajifunza kutokana na maneno yao ya mara ya kwanza. Yaaani inakera sijui kutongoza hawajui hadi waongee vitu vya uongo? Inahusu jamani kwa nini mdanganye?
Saturday, 5 January 2013
Kuwa makini na wanaume wa dizaini hii
Categories: Mahusiano
Related Posts:
Lady Jay dee aomba talaka? UNAWEZA ukakataa lakini ndivyo ilivyotokea, ndoa ya mtangazaji mahiri Bongo,Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteini’ na Mbongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ iliyofungwa miaka 9 iliyopita inadaiwa kuingia k… Read More
Dental student, 18, killed herself by stepping into the path of cars on unlit motorway after being dumped by her 'controlling' boyfriend Lena Begum wandered around the M65 for up to two hours before van hit The dental student, from Burnley, had been out earlier with friends She told them she was sad her boyfriend, Quzlam Ahmed, didn't love her They drop… Read More
SIRI 7 ZA KUVUNJA NDOA NA MBUNGE MZEE! YULE ‘hendsam’boi’ Michael Christian (28) ambaye mwaka jana aliitikisa medani ya siasa Bongo kufuatia kufunga ndoa na Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Rukwa, Rose-Sweeter Kasikila (60) na miezi michache mbele nd… Read More
EXCLUSIVE: Diddy denies proposing to girlfriend Cassie after flashing a large diamond engagement ring on Instagram and asking if she liked it This is not an engagement ring: Diddy denies to MailOnline he popped the question to girlfriend Cassie when he posted a photo of this rock to his Instagram account Saturday A hoax?: The mogul posted this message two … Read More
HAYO NI MAMBO 10 YA KUMTAMBUA YULE MPENZI WAKO KABLA HAMJAFUNGA PINGU ZA MAISHA NAYE Habarini marafiki zangu Marafiki zangu nimeona nishare nanyi hii kitu kwani nimeisoma mahali nikaona nanyi itawafaa pia kuisoma na ndipo nimedadavua huko na kuileta hapa jamvini nanyi mpate kitu toka hapa Zifahamu tab… Read More
0 maoni:
Post a Comment