Monday, 14 January 2013

DULLY SYKES aomba radhi mashabiki wake kufuatia kashfa za kulawiti mtoto zinazomkabili BAUNSA wake ...

BAADA ya tuhuma chafu zinazomkabili baunsa wa msanii Dully Sykes , anayefahamika kama Arafat Ngumi Jiwe, za kumlawiti mtoto, sasa msanii huyo ameamua kuwaambia mashabiki wake kuwa amesitishwa  sana na  kadhia  hiyo kwani alikuwa hajui kama jamaa ana tabia hiyo chafu hivyo anawasihi watanzania wote kujua kwamba hajui lolote kuhusu  hilo na ameahidi kuanzia sasa hawezi kuendelea kufanya naye kazi. 

Related Posts:

  • CHAZ BABA amvisha pete mchumba wake jukwaani PREZIDAA wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel ‘Chaz Baba,’ juzikati aliendeleza harakati za maandalizi ya ndoa kwa mashabiki wake baada ya kumvisha pete jukwaani mchumba’ke, Rehema Sospeter. Tukio hilo lililos… Read More
  • Baada ya TID kuponda Wakazi ajibu mapigo Rapper Webiro Wassira aka Wakazi ameamua kufunguka baada ya TID kumponda  kuwa haoni ataimba nini huko Afrika ya Kusini kwenye show ya Big Brother Africa The Chase kinaonesha kuwa staa huyo wa ‘Kiuno’ hajui anachok… Read More
  • SHETA anafanana na shemeji yetu? Msanii Sheta Oneal Shemeji yetu na Oneal na Feza ndani ya jengo la BigBrother  Soma habari za Oneal na Feza kwenye linki hizi hapa chini ""I didn't see it coming"" "Feza is inlove with me" kujua zaidi fu… Read More
  • Diva na Hudda bifu bado? Kama utakua ni muumini wa twitter lazima utakuwa unajua kinachoendelea kati ya mshiriki wa BBA kutoka Kenya  (2013), Huddah na mtangazaji Diva Loveness love. kiufupi ni tweef ( bif kupitia twitter) kisa kikiwa ni CMB… Read More
  • Wiz Khalifa and Amber Rose are married? Just married! Wiz Khalifa and Amber Rose secretly tied the knot in Los Angeles on Monday  Big news: The 25-year-old rapper was the first to announce the happy news on his Twitter page Overjoyed: Only mome… Read More

0 maoni: