Jamani hata arobain bado vituko na mastory kibao yameanza kutokea mitaani, Mara oooh Sharo alitaka kuitisha kikao aoe shombe shombe, na sasa tunasikia kuna mtangazaji kajitokeza ana mimba ya miezi 4 mmmmmm, sijui wengine tena watajitokeza kama marehemu Kanumba? Kwa nini msijitokeze mapema wahusika wakiwa wazima mnasubiri hadi wafe?
Saturday, 8 December 2012
Mtangazaji ana Mimba ya Sharobaro?
Categories: Celebrities News, Magazeti pendwa
Related Posts:
Hii ndio zawadi ya birthday ya DIAMOND aliyopewa na Mpenziwe PENNY … Read More
OMG.... Wat a beatiful woman......huwezi amini kama katoka kujifungua Ona picha zaidi za mama Nori (KIM) hapa - KIM photos … Read More
Best Daddy ever? 'Blue Ivy is my biggest fan!' Jay-Z reveals his 18-month-old daughter loves his latest album Magna Carta Holy Grail Full story click here - JAY Z family … Read More
20% amaliza bifu na Porducer wake! Baada ya kuwa na BIFU kwa muda mrefu hatimaje Kipenzi cha wengi (20% na producer wake Man water ) waamua kufunika kombe na mwanaharamu apite..... Leo ndani ya ofisi za kituo cha Radio cha Magic FM wawili hao wamemali… Read More
SHILOLE.............. Kioo cha jamii! … Read More
0 maoni:
Post a Comment