Jamani hata arobain bado vituko na mastory kibao yameanza kutokea mitaani, Mara oooh Sharo alitaka kuitisha kikao aoe shombe shombe, na sasa tunasikia kuna mtangazaji kajitokeza ana mimba ya miezi 4 mmmmmm, sijui wengine tena watajitokeza kama marehemu Kanumba? Kwa nini msijitokeze mapema wahusika wakiwa wazima mnasubiri hadi wafe?
Saturday, 8 December 2012
Mtangazaji ana Mimba ya Sharobaro?
Categories: Celebrities News, Magazeti pendwa
Related Posts:
Je tutafika? Watoto wadogo waoana! HAKUNA lugha inayofaa kutumika katika habari hii zaidi ya kusema hii ni kali ya mwaka! Katika hali ya kushangaza, watoto Mary Chinjendi (15) na Amos Sailowa (17), wazaliwa wa Kijiji cha Vilundilo Mbandee, Mkoa wa Dodoma, w… Read More
Mambo usiyoyajua kuhusu super star wa Filamu wa Ghana aliyetua kwenye ardhi ya Kikwete VAN VICKER; ‘FROM ZIRO TO HERO’ AMEZALIWA maskini, ameishi kwenye umaskini, kukosa mahitaji muhimu, akakosa elimu na fursa mbalimbali za maendeleo lakini hatimaye kipaji cha kuigiza kinakuja kumtoa. Huyo ndiye Van Vicker (pichani kushoto). Staa huyo… Read More
Jasiri haachi asili - Mfungwa anaswa akijiuza ! BAADA Mei mwaka huu kuhukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani kwa kosa la kufanya ukahaba, mkazi wa jijini Dar, Blandina Barton amekamatwa tena kwa kosa hilohilo ikiwa ni mwezi mmoja kabla ya kumaliza kifungo chake,… Read More
Polisi wavunja ndoa ya mtoto wa miaka 14 Binti wa miaka 14, Zubeda akiwa tayari kufunga ndoa na Hamis (35). Hamis Ngaumba (35) aliyetaka kumuoa binti wa miaka 14. NDOA iliyokuwa tayari kufungwa na shehe kati ya Hamis Ngaumba (35), mkazi wa Bangulo, Ulongo… Read More
Ufuska wa kutisha HAKIKA wazazi wanaosomesha mabinti lazima wataumia wakisoma kisa hiki kilichojaa ufuska wa kutisha, Amani linakupa kwa undani. Mwanafunzi wa kike aliyetajwa kwa jina moja la Agness, hivi karibuni alijifungia chumbani … Read More
0 maoni:
Post a Comment