
Baada ya kuwa na BIFU kwa muda mrefu hatimaje Kipenzi cha wengi (20% na producer wake Man water ) waamua kufunika kombe na mwanaharamu apite..... Leo ndani ya ofisi za kituo cha Radio cha Magic FM wawili hao wamemaliza tofauti zao na kuahidi kufanya kazi pamoja kama zamani
No comments:
Post a Comment
Toa ushauri wako au andika chochote hapa ... Leave your comment here