
Husband: Tulitekwa nyara na al shabab since friday, noo, since saturday
Wife: Friday ama Saturday
Wife: Mbona haikuwa kwa news!!!!
Husband: Si unajua hii maneno ya military,,,,,, wanaficha details zingine,,,,,
Wife: ulishikwa na nani?
Husband: Tulishikwa na Erickoh na Jeremy lakini usiwapigie simu coz they are very shaken
Wife: Na mbona shirt yako ikona lipstik????
Husband: huyo ni Samantha White Widow ndio alikuwa anajaribu kunigrab then nkamskuma
ndio nkatoka mbio coz I didn't want 2 luz u my queen
No comments:
Post a Comment
Toa ushauri wako au andika chochote hapa ... Leave your comment here