Friday 12 July 2013


Hodi hodi wana hot n town!
Mie ni mdada  wa makamo naishi Dar es salaam .... shida yangu kubwa naombeni msaada wa kujua maeneo gani ya mwili wa mwanaume yakiguswa au kufanyiwa chochote yanampa raha muhusika  kupitiliza....... Nia na madhumuni ya haya yote ni maandalizi kabambe ya kumtuliza shemeji yenu nyumbani....... nataka akitoka kazini afikirie nyumbani na si kwingineko..... Pls  majibu yenu ndio dawa yangu.

Aunt S Dar.

0 maoni: