People's Magazine
The place where you can find everything...
Home
Wednesday, 15 May 2013
Home
»
Celebrities News
,
OMG
» Namfuata MWISHO Namibia
Namfuata MWISHO Namibia
By
Unknown
12:04
No comments
LICHA ya Mwisho Mwampamba kuwa mume wa ndoa wa Meryl Shikwambane, msanii wa filamu na muziki Bongo, Baby Madaha amesema anajiandaa kwenda nchini Namibia wanapoishi wanandoa hao kwa lengo la kujumuika na Mwisho na kula bata.
Akizungumza na Risasi Mchanganyiko jijini Dar es Salaam, Baby alisema bado ana uhusiano wa kimapenzi na Mwisho na kwamba yeye ndiye alimwalika aende Namibia wakafurahie penzi lao.
“Nakwenda Namibia kwa Mwisho wangu. Simwogopi huyo Meryl, kwanza yeye ndiye aliyeingilia penzi langu. Mimi ndiye wa kwanza kuwa na Mwisho, hivyo ni halali yangu.
“Mwisho mwenyewe ndiye aliyeniambia niende na amesema nitafikia hotelini, nitafurahi naye kwa muda wote nitakaokuwa huko, mambo mengine mwenyewe ameshayapanga na atajua cha kufanya.”
Kwa hisani ya GLP
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Categories:
Celebrities News
,
OMG
← Newer Post
Older Post →
Home
0 maoni:
Post a Comment
Social Profiles
Popular
Tags
Blog Archives
Search this Blog
Baada ya kufiwa na Babu yake KANYE WEST amtoa Mtoto wake hadharani?
Mambo ya Mujini hayo ... Iga ufe
Forbes 40 Most Powerful Celebrities In Africa
According to Forbes, several of your favorite icons that were previously featured on Golden Icons were mentioned as part of “The 40 Most P...
Why do we fall in love?
Falling in love is a magical experience that happens between two people. So why do people fall in love? Professor Arthur Aron from State ...
Ethiopia's Karo people decorate their faces and bodies with chalk and ochre to boost chances of finding love - and scare off rivals
The Karo tribe use red ochre and white chalk to create intricate designs on their faces and bodies Both sexes do it as a way to be more v...
Je unajua dalili za Mwanaume mwenye nyumba ndogo? soma hapa ...
1. Utaambiwa safari za kikazi za kila mara 2. Mikutano kazini inayofanyika hadi baada ya muda rasmi wa kazi kila mara 3. Wa m...
Age aunt nothing ..... but a number.......
Getting closer: Eddie Murphy and Paige have been spotted around the island
Bongo bwana? Urafiki wa WEMA na KAJALA kwishney? wapambe ndio chanzo.......
KIMENUKA! Utabiri wa wengi kuwa ushosti wa waigizaji masistaduu wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja kutumbukia nyongo u...
Are they lovers?..................
Fashion Police!
Powered by
Blogger
.
My favorite News blog
Loading...
Celebrities Gossip
Loading...
.
Tags
Afya
(116)
Broken heart stories
(1)
Celebrities kids
(18)
Celebrities News
(783)
Children
(4)
Death Anouncement
(1)
Dini
(27)
Elimu
(5)
Extraordinary People
(12)
Familia
(26)
Full aibu
(87)
General
(20)
Karibu Jamvini
(1)
Katuni
(11)
Kazi za Jamii
(3)
Magazeti pendwa
(228)
Mahusiano
(281)
Majanga
(16)
mambo ya kuiga
(3)
Mapishi
(2)
Michezo na Burudani
(49)
Mikasa ya Maisha
(2)
Mila na desturi
(14)
Moyo Mpweke
(3)
Msaada kwenye tuta...
(10)
Nyumba
(28)
OMG
(476)
OMG... Black are beautiful
(10)
Picha huongea
(25)
Sayanzi na Tekinolojia
(3)
Siasa
(82)
Tangazo
(2)
Tiba Mbadala
(4)
True story
(77)
Ugaidi
(1)
Ukatili
(55)
umaarufu kazi
(28)
Urembo
(20)
Video
(10)
Vipaji
(3)
Vituko mtaani
(164)
Vivazi na Mitindo
(171)
Wanaume
(32)
Wanawake
(121)
0 maoni:
Post a Comment