People's Magazine
The place where you can find everything...
Home
Wednesday, 27 February 2013
Home
»
Celebrities News
» JOSEPH SHALUWA amchana live JACK wa CHUZ
JOSEPH SHALUWA amchana live JACK wa CHUZ
By
Unknown
14:05
No comments
Kwako,
Jacqueline Pentizel ‘Jack wa Chuz’. Pole kwa changamoto ulizokutana nazo juzi hotelini wakati ukiwa na mteja aliyetaka kuspendi na wewe kwa dola 500. Ni ajali kazini, usiwaze sana.
Tatizo nini ujue sister? Unawadanganya watu. Unapindisha ukweli kuwa uongo. Hapo ndipo ulipokosea zaidi. Siku zote binadamu anapokuwa mkweli ndipo anakuwa huru.
Kudanganya wakati mwingine kunaweza kuwa na maana kama unaongopa kwa lengo la kuficha kitu chenye manufaa lakini pia uwe na ushahidi au mazingira ambayo unaowadanganya hawatakushtukia.
Ni kweli wewe ni muongo, tena muongo mkubwa mwenye ‘shahada ya kwanza ya uongo’ uliyoipata katika Visiwa vya Madagascar ila sasa inaonekana huko ‘chuoni’ ama ulikuwa unachungulia majibu au ulikuwa unatoka na profesa akawa anakubeba!
Gazeti hili toleo lililopita liliripoti habari ya kukunasa ukiwa kwenye mtego wa kwenda kuuzwa kwa ajili ya kufanya ngono kwa dola 500. Siyo siri, muuazaji mwenyewe ni Baby Candy na anaujua ukweli huu, kuwa alikuwa kazini kukuuza. Ushahidi wa kutosha upo.
Kama chombo cha habari siku zote tuko macho kumulika maovu yanayofanywa kwenye jamii. Tukiwa katika kutimiza majukumu hayo hata siku moja hatumsingizii mtu. Tunasimama katika ukweli.
Tunajua ukweli unauma na wengi hawapendi kuambiwa ukweli, wewe ni kati ya watu hao. Mbaya zaidi wakati ukikanusha kwenye runinga unajua wazi kuwa tukio ni la kweli na si filamu kama ulivyokuwa ukijaribu kudanganya.
Nidhamu na maadili unapaswa kusimamia mwenyewe, ukiteleza na kunaswa usitumie nguvu kukanusha, kuwa mkweli. Yaani umenaswa ukitaka kuingia mzigoni na mapatano yamefanyika tena kila kitu kimerekodiwa, gazeti linatoka asubuhi jioni yake tayari upo kwenye kituo cha runinga unakanusha!
Hebu kuwa mkweli mtoto wa kike, kuna filamu ya aina ile? Wasomaji wa Global kwa namna walivyo makini na wakomavu hawawezi kukubaliana na upuuzi uliouongea kwenye runinga. Wanajua unatapatapa tu!
Eti unasema ulikuwa unarekodi filamu?! Ipi? Prodyuza ni nani na mhusika mkuu ni yupi sasa pale? Acha uongo wa kitoto. Ili usiandikwe ishi kwa staha. Wewe ni mtu maarufu, watu wanajifunza kupitia maisha yako, utawaponza hata wasanii wengine chipukizi wenye nia ya kuingia kwenye soko la filamu wazuiwe na wazazi wao wakiamini lipo soko jingine nyuma ya filamu.
Kuishi kwa kutegemea biashara haramu hakuna maana, umepewa kipaji cha sanaa, kwa nini usikitumie vizuri kutafuta riziki yako badala ya kutafuta shotikati?
Acha uongo wa kizamani. Nakuasa usitumie mwavuli wa sanaa kufanya mambo machafu yasiyokubalika katika jamii ya kistaarabu ya Kitanzania.
Utakuwa muungwana kama ukirudi tena kwenye jamii yako na kuitaka radhi si kukanusha kwa maelezo yasiyo na mbele wala nyuma. Fikisha salamu zangu kwa Baby Candy.
Yuleyule,
Mkweli daima,
Joseph Shaluwa
Kwa hisani ya GLP
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Categories:
Celebrities News
← Newer Post
Older Post →
Home
0 maoni:
Post a Comment
Social Profiles
Popular
Tags
Blog Archives
Search this Blog
Mchumba wangu amezaa na mume wa mtu nifanyaje?
Habari zenu Wana hot n Town! Ni masikitiko na majonzi kwangu na kuumia sana moyo...maana nilitokea kupendana sana na binti mmoja wa ki...
Mastaa 10 wa Kibongo waliozalishwa na kuachiwa watoto
KATIKA ulimwengu wa mastaa wa Kibongo, kuna vijimambo kibao mojawapo ni wale wa kike kujiingiza kwenye mapenzi na kudanganywa kilai...
Wizi mtupu ! ... Kaburi la KANUMBA latoa ajira? kuliona ni Tsh.5,000
KATIKA kile kinachoonekana kwamba ni wizi mtupu, baadhi ya vijana wanaojifanya kutunza Makaburi ya Kinondoni wamebuni njia ya kuwaibia wa...
Bollywood royalty Amitabh Bachchan hits the red carpet at The Great Gatsby premiere with wife Jaya Bhaduri... as they gear up for 40th wedding anniversary
Bollywood royalty: Veteran actor Amitabh Bachchan celebrated his role in The Great Gatsby at the New York premiere on Wednesday, joined b...
Juma Kaseja atua Ndanda FC?
KIPA namba moja wa Taifa Stars, Juma Kaseja dili lake la kwenda kuichezea FC Lupopo ya DR Congo halieleweki na kusisitiza kuwa ameamua ku...
Lady Jaydee atoa wosia..... awachana RUGE na KUSAGA
Watu wanashtuka mtu akiongelea kifo, Utafikiri hawafahamu fika kuwa kila nafsi itakionja, Kwenye maisha yangu nimepitia mambo mengi, mag...
Baada ya uzushi wa kutaka kugombea UBUNGE kumuandama mama mzazi wa ZITTO KABWE afunguka
Mama mzazi wa Mwanasiasa machachari na Mbunge wa Kigoma Kaskazini ZITTO KABWE kaamua kufunguka kuhusu fununu za yeye kugombea UBUNGE...
Mwanaume kuwahi kumaliza anapofanya tendo la kujamiiana…….!
Kutoka mbegu za kiume muda mfupi baada ya kumwingilia mwanamke huitwa premature ejaculation . Huu ni udhaifu wa kawaida kwa wanaume wali...
Wanawake wenye sura hii, kwa kuibua wanaume ‘mabomu’ ndio wenyewe…!
Hiyo sura unayoiona hapo juu ni ya mwanamke, ambaye amejiremba na kupendeza. Lakini kujiremba kwake hakujabadilisha sura yake halisi, kwa...
Chezea Mume wa mtu wewe.....
Powered by
Blogger
.
My favorite News blog
Loading...
Celebrities Gossip
Loading...
.
Tags
Afya
(116)
Broken heart stories
(1)
Celebrities kids
(18)
Celebrities News
(783)
Children
(4)
Death Anouncement
(1)
Dini
(27)
Elimu
(5)
Extraordinary People
(12)
Familia
(26)
Full aibu
(87)
General
(20)
Karibu Jamvini
(1)
Katuni
(11)
Kazi za Jamii
(3)
Magazeti pendwa
(228)
Mahusiano
(281)
Majanga
(16)
mambo ya kuiga
(3)
Mapishi
(2)
Michezo na Burudani
(49)
Mikasa ya Maisha
(2)
Mila na desturi
(14)
Moyo Mpweke
(3)
Msaada kwenye tuta...
(10)
Nyumba
(28)
OMG
(476)
OMG... Black are beautiful
(10)
Picha huongea
(25)
Sayanzi na Tekinolojia
(3)
Siasa
(82)
Tangazo
(2)
Tiba Mbadala
(4)
True story
(77)
Ugaidi
(1)
Ukatili
(55)
umaarufu kazi
(28)
Urembo
(20)
Video
(10)
Vipaji
(3)
Vituko mtaani
(164)
Vivazi na Mitindo
(171)
Wanaume
(32)
Wanawake
(121)
0 maoni:
Post a Comment