Tuesday 25 February 2014

HATARI!! Kajala alishwa sumu, akimbizwa hospitali. Ni kwenye show ya Izzo business

HATARI!! Kajala alishwa sumu, akimbizwa hospitali. Ni kwenye show ya Izzo business
Mwanadada mwigizaji Kajala juzi alikumbwa na dhahama ya kusikitisha baada ya kulishwa kitu kinachosadikiwa kuwa ni sumu alipokuwa kwenye show ya msanii wa muziki kizazi kipya Izzo Business huko.
Akielezea Zaidi kajala alisema…
‘’Jana (juzi) nilivyokuwa kwenye shoo ya izzo ghafla nikaanza kuumwa nikapelekwahome halafu nikaenda hospitali. Nilivyo pimwa nikakutwa nimekunywa kitu chenye sumu lakini namshukuru mungu naendelea vizuri asante mungu kwa kila jambo...
Hali ya kajala ni nzuri na ameruhusiwa kutoka hospitalini sasa.
Kwa hisani ya Bongomovies

0 maoni: