Tuesday 2 April 2013

Mtanzania auawa CHINA, maiti yafichwa mwaka mzima ...............

KIFO cha mfanyabiashara wa Kitanzania, Mkumbukwa John Shayo, kimetawaliwa na mazingira yenye utata ambayo kwa uzito wake, inatosha kuyaita maajabu ya mwaka 2013. Mkumbukwa, aliyefikwa na mauti akiwa na umri wa miaka 37, kifo chake kilichotokea China, kilifanywa siri nzito, hivyo kusababisha maiti yake, ikae mochwari karibu miezi 12 (mwaka mmoja) bila kuzikwa...


KUSOMA GAZETI HILI BOFYA… au nunua Gazeti la  UWAZI la  2- 8 April 2013

0 maoni: