![](http://1.bp.blogspot.com/-qhIPKZpWM0c/URNZyolKPrI/AAAAAAAAbPE/dxW-Z5IcAVM/s400/kigogo.bmp)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vpDtf25pa9Q/URNaKGahEgI/AAAAAAAAbPU/HyUC6n1PguY/s400/KIGOGO1.bmp)
Wambeya wa mji tumenyetishwa kuwa binti huyo alibambwa akifanya kitendo hicho cha aibu hivi karibuni maeneo ya Sinza kwenye nyumba moja ya kulala wageni ambayo jina lake limewekwa kapuni
“Alianza kutembea na mume huyo wa mtu kwa muda mrefu, kosa alilofanya ni kupiga picha chafu kwa kutumia simu yake,” chanzo kilianika mkasa.
0 maoni:
Post a Comment