![](http://2.bp.blogspot.com/-CKS6YytzXQo/Ur8lb_joC4I/AAAAAAAAGcw/JUznXAPRTb8/s320/baby%2Bmadahaw.jpg)
![](http://api.ning.com/files/uY3PJt2fxPz8Qd9WPoDUfzJoVYhc1hoS5dLLt*otBpuWrj8ZmQbAqWzmpEfBydUYxQPH9UDgbUWirqYdXUaCsSOU3sYwb5GE/diamond1.jpg)
Ili kudhihirisha bado wana bifu Baby Madaha jana kupitia kipindi cha Hot Mix cha EATV aliendelea kutoa vidongo juu ya Rais wa Wasafi (Diamond ) .Baby Madaha alisema Diamond ni msanii ‘wahapahapa’ akimaanisha Tanzania na yeye akifahamika kimataifa zaidi . kama haitoshi alisema kuwa pamoja na kufanya muziki, yeye pia ni muigizaji mzuri wa filamu wakati Diamond ni muimbaji peke yake na hivyo kamwe hawezi kuwa level moja ........................
No comments:
Post a Comment
Toa ushauri wako au andika chochote hapa ... Leave your comment here