Friday 30 August 2013

Msaada tutani .......Mke wangu anashida nisaidieni....

<3

Habari zenu wapendwa!
Ninaomba mnisaidie ushauri wa tatizo hili..........Kila nikikutana kimwili na mke wangu analalamika sana kuwa anasikia maumivu, najitahidi kuchukua muda mrefu wa kumuandaa lakini ila malalamiko ni yaleyake , je nifanyaje au kuna njia yoyote ninayoweza kutumia  ili kuongeza utelezi na ulainishi wa uke ili nae afaidi?

Uncle B, Dar

0 maoni: