![](http://3.bp.blogspot.com/-Uq5lW-Kxhw8/UaeC-uKYSwI/AAAAAAAAnqo/nR6eWlhqgIM/s400/10.jpg)
Hii ndio Hospitali ya St Hellen Joseph, mwili wa marehem Albert Mangwea ulipohifadhiwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-6E5EnTSa5cY/UaeC-jB_NyI/AAAAAAAAnqk/dvXXSkmMbc4/s400/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oeJauNpTxM4/UaeDAIT18LI/AAAAAAAAnq4/lxtyn7uEFss/s400/7.jpg)
Watanzania wakiongozwa na Kinjeketile Ngombale Mwiru wakitazama aina ya majeneza mbalimbali wakati wakati wakifanya uchaguzi lipi linunuliwe. Inasemekeana gharama za jeneza na kusafirisha mwili zitagharimu shillingi Milioni 4.5 za Kitanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-zUbxszxZJ2Y/UaeC-uW55dI/AAAAAAAAnqw/4_qyxgSrSDI/s400/5.jpg)
Millard akifanya mahojiano na mmoja wa watanzania walioko Soth Africa
![](http://2.bp.blogspot.com/-tOyfGvg_R1s/UaeDAvgeJ_I/AAAAAAAAnrA/t6_IWQNPUIE/s400/9.jpg)
Millard Ayo akifanya interview na mmoja wa Watanzania nje ya hospitali alikolazwa M2TheP.
Siku ya tarehe 23 mwezi wa kwanza, Izzo B alikuja ndani ya studio za Clouds Fm kwa ajili ya kutambulisha wimbo wake "Ball Player" huku akiwa ameambatana na Quick Rocka na Ngwea..
![](http://4.bp.blogspot.com/-zLyH6wvc7Dc/UadV17s6EtI/AAAAAAAAnpk/yRmwTz4Du6w/s350-c/Screenshot+2013-05-30+at+16.35.15.png)
sikiliza interview yote hapa
Video ya interview hii hapa
0 maoni:
Post a Comment