




Rapper machachari wa Kitanzania NEY wa Mitego Kupitia akaunti zake Facebook na Instagram afichua siri ya kumiliki gari jipya baada ya kuandika ujumbe huu ‘My new car. Mark X, Zic z wat I nid.
Kama haitoshi mwanamuziki hiyo inasememkana kanunua Bastola kwa ajili ya kujiimarimisha usalama!....
No comments:
Post a Comment
Toa ushauri wako au andika chochote hapa ... Leave your comment here