![](http://api.ning.com/files/Qpm74rsDFclDTfnKABVIFzEj1zDEB2K2Zzcsba94ANTxeNhZWu1UXEesq6ov*e4xD8MiQzvJpwpZ5qP3-*IIEBxWOaF9VVuP/FRONTWIKIENDA.jpg?width=650)
Ama kweli wabongo kwa Ngono tumerogwa............... Haya sakata la ngono lapiga hodi kwa wacheza mpira sasa...........Mcheza Mpira Maarufu wa Team ya Simba Mrisho Ngasa ameripotiwa na gazeti la Ijumaa kuwa ameingia katika kashfa ya kujirekodi video huku akifanya mapenzi ... ili kuonyesha wana uhakika na wanachokisema gazeti hilo linadai kuwa lina video hiyo ambayo ina dakika kama 15 na inaonekana wakiwa uchi wa mnyama na msichana.
0 maoni:
Post a Comment